Mama yake kutokujua kusoma na kuandika haimaanishi hana akili,huenda wazazi hawakumpeleka shule kwani we unajua kusoma na kuandika kichina?ila hatuwezi kukuita kilazaBroo sio kweli
Kuna utafiti umewahi fanywa juu ya hilo...
Familia moja yenye watoto 2, mmoja ana akili sana mwingine ni kawaida tu
huyu mwenye uwezo mazingira yake ya elimu yalikua kawaida kabisaa..
I;a Junia alipewa kila kitu ila bado hakuwahi hata kukaribia kwa kaka ake
swala la akili ni mtambuka
kuna dogo mmoja wa bariadi alikua top 4 ya form four mwaka fulani ila mama ake hajui kusoma wala kuandika
hakuna mtoto asie na uwezo darasani
WoteNature vs nurture.
Nani kilaza zaidi mkeo kilaza au wewe uliyeoa kilaza?
Bahati mbaya wanaume ni wachache.Mwanaume kwa mwanamke anatakiwa kuwa
1. Mwalimu
2. Fundi
3. Mlinzi/Askari
4. Banker.
5.N.K
8.ATMNakazia kidogo hapo
1. ATM
2.ATM
3ATM
4.ATM
5.ATM
6.ATM
7.ATM
Wote
Kuna kitu hatijaelewana,iko hivi bibi zetu hawakusoma ila walijua dalili na majina ya ugonjwa na dawa zipi za kienyeji watumie kutibu watoto wao,ukilaza ni kushindwa kukabili mazingira au kuwa na uelewa mdogo sana
🤣🤣Nature vs nurture.
Nani kilaza zaidi mkeo kilaza au wewe uliyeoa kilaza?
Sasa waolewa na nani jamni? Ila sii ukumbuke mwanamke kilaza hanyimwi vyote, tako matiti na kufinyia kwa ndani vyote wanapewa wao. Chaguo ni lako sasa mtoto mwenye akili au ufurahie mbususu tamuPata picha umesafiri umeacha familia yako Junior anaumwa, umefika ulipokwenda unampigia simu mkeo kujua vipiimo vinasemaje
Mimi: Habari mke wangu doctor kasemaje
Yeye; Kasena mtoto ana yutiyai na amwiba
Mimi; nisomee dose yake
Yeye; mwayego hapa maandishi siyaoni vizuri kuna herufi kama sio nne basi itakuwa sita.(jiandae mtoto kuwa overdosed)
Hapo junior katoka kuburuza mkia darasani, kama ni ligi anasubiri play off.
Mtoto huchukua asilimia 75 ya akili za mama yake, utapekeka twisheni zote kama mke ni kilaza Junior atakumalizia ada tu.
Tusioe wanawake vilaza wala kuzaa nao
Mungu akiachia uwe na vilaza hata uwe mmeowana genius watakuwa vilaza. Jambo moja nina amini Mungu ndie anatoa akili mengine utashi wa mwanadamPata picha umesafiri umeacha familia yako Junior anaumwa, umefika ulipokwenda unampigia simu mkeo kujua vipiimo vinasemaje
Mimi: Habari mke wangu doctor kasemaje
Yeye; Kasena mtoto ana yutiyai na amwiba
Mimi; nisomee dose yake
Yeye; mwayego hapa maandishi siyaoni vizuri kuna herufi kama sio nne basi itakuwa sita.(jiandae mtoto kuwa overdosed)
Hapo junior katoka kuburuza mkia darasani, kama ni ligi anasubiri play off.
Mtoto huchukua asilimia 75 ya akili za mama yake, utapekeka twisheni zote kama mke ni kilaza Junior atakumalizia ada tu.
Tusioe wanawake vilaza wala kuzaa nao
Sasa hao sii ndio wazuri kuwalubuni uwageggede mzeya. Wee unataka ugegegdw hawa wa jf magreat thinkers ambao mwisho wa siku waanze kukupimia utamuHiyo kuandika UTI kama yuutiai nimekumbuka mbali sana!
Kuna dada mmoja nilikuwa namuona kichwa kinoma kiasi hata kumsemesha mtu unaweza kumgwaya kuna kipindi kidogo akapotea nikasema siyo vibaya kumjulia hali,kumuuliza akaniambia anaumwa nikamuuliza nini zaidi?akaniandikia “nina UUTIAI kali hapa ndo natumia tumia dawa”,nakumbuka wala sikumjibu tena.
Hiyo kuandika UTI kama yuutiai nimekumbuka mbali sana!
Kuna dada mmoja nilikuwa namuona kichwa kinoma kiasi hata kumsemesha mtu unaweza kumgwaya kuna kipindi kidogo akapotea nikasema siyo vibaya kumjulia hali,kumuuliza akaniambia anaumwa nikamuuliza nini zaidi?akaniandikia “nina UUTIAI kali hapa ndo natumia tumia dawa”,nakumbuka wala sikumjibu tena.
Mazingira ya bibi zetu hakuhitaji kujua kusoma wala kuandika ,bali kukariri kichwani.na walifanikiwa hiloBasi mkuu badilisha topic, na useme mwanamke asiyekwenda shule hapo nitakuelewa kwani mfano wa maswali yako kwa huyo mkeo kilaza hata huyo Bibi yako asingeweza kuyajibu hivyo usimlaumu mkeo kilaza huku umuache bibi yako ambaye naye ni kilaza kulingana na maswali yako. Yaani ni maswali yako ndio determinant kwamba hata huyo Bibi yako naye ni kilaza kwani asingeweza kujibu hayo maswali.
Na yanakuwaga na vitu fulani adimuSasa waolewa na nani jamni? Ila sii ukumbuke mwanamke kilaza hanyimwi vyote, tako matiti na kufinyia kwa ndani vyote wanapewa wao. Chaguo ni lako sasa mtoto mwenye akili au ufurahie mbususu tamu
Da nimecheka sanaHiyo kuandika UTI kama yuutiai nimekumbuka mbali sana!
Kuna dada mmoja nilikuwa namuona kichwa kinoma kiasi hata kumsemesha mtu unaweza kumgwaya kuna kipindi kidogo akapotea nikasema siyo vibaya kumjulia hali,nikam-text kumuuliza akaniambia anaumwa nikamuuliza nini zaidi?akaniandikia “nina UUTIAI kali hapa ndo natumia tumia dawa”,nakumbuka wala sikumjibu tena.
Baba na kaka uwe mtt yote hayo weweMwanaume kwa mwanamke anatakiwa kuwa
1. Mwalimu
2. Fundi
3. Mlinzi/Askari
4. Banker.
5.N.K
Pata picha umesafiri umeacha familia yako Junior anaumwa, umefika ulipokwenda unampigia simu mkeo kujua vipiimo vinasemaje
Mimi: Habari mke wangu doctor kasemaje
Yeye; Kasema mtoto ana YUTIYAI na AMWIBA
Mimi; nisomee dose yake
Yeye; mwayego hapa maandishi siyaoni vizuri kuna herufi kama sio nne basi itakuwa sita.(jiandae mtoto kuwa overdosed)
Hapo junior katoka kuburuza mkia darasani, kama ni ligi anasubiri play off.
Mtoto huchukua asilimia 75 ya akili za mama yake, utapekeka twisheni zote kama mke ni kilaza Junior atakumalizia ada tu.
Mwanamke kilaza ni mzigo kwa mumewe
Uko sahihi kabisaKuna tofauti kubwa sana kati ya
Elimu ya darasani
Na elimu dunia
Mwanamke anaweza shika mkia darasani lakini akawa mwanamke mwenye manufaa mengi kwenye familia
Mkuu wanamke wengi wa 80s hawajasoma lakini ndio tunaowa appreciate sana kuliko hawa waliosoma
Mwanaume ukitaka uteseke oa mwanamke msomi amekulia jijini
Mwanamke akiwa na kitu fulani houta dharau automatically