Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

Mbona nimesoma sana huu uzi lakini haunisaidii chochote?
 
Salaaam wakuu.

Mimi sio mlevi wa pombe ila Nina kilevi changu, na kuacha haiwezekani.[emoji14]

Back to topic.

Nmekua mtembeleaji mzuri wa bar ila sasa napata shida linapokuja suala la kuagiza kinywaji hasa ninapokua na marafiki zangu ambao wengi ni wanywaji.

Sasa nmeona haya maji na juice vimekua common kila "out" juice tuuuu. Maji tuuuu. Mpaka najikuta natengwaaa.

Hebu tupeane uzoefu kuna kinywaji ambacho sio kilevi kinaweza kua mbadala wa juice na maji hata kama ni expensive? Achilia hizi common Bavaria...?
Chai ya rangi na mtindi.
 
Utakua mlevi mkuu, hapa ni story za vinywaji laini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu sijawah kutumia kilevi, nataman pia nivijue vinywaji vya non alcohol ili nikienda bar hata maybe kuchek game nivitumie.
 
Bar sio maeneo ya walevi. Nani mwenye definition halisi ya neno bar?
 
Mkuu sijawah kutumia kilevi, nataman pia nivijue vinywaji vya non alcohol ili nikienda bar hata maybe kuchek game nivitumie.
Tumia maji mkuu, ila sasa yanchosha unaweza kufika bar kiu ya maji huna.
 
Back
Top Bottom