Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha haha alinipigia simu baada ya kuzindukaAu Ulikua pembeni yake unapiga vitu vikali mkuu Dogo akalewa mvuke
HahahaNiliwahi kuulizwa "kama hunywi, umefata nini Bar?"
Ndio nilichofanya!Hahaha
Si ungeondoka!!!
Redbull
Sakayo kinywaji chako kungfu [emoji3][emoji3][emoji3]KungFu au DragoN
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaaan nimeona nikakukumbuka na kinywaji chakoKuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele
Cc@Shunie
Nakupendea hapo tuu JiraniNdio nilichofanya!
HahahaSakayo kinywaji chako kungfu [emoji3][emoji3][emoji3]
Acha kabisaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaaan nimeona nikakukumbuka na kinywaji chako
Chai ya rangi na mtindi.Salaaam wakuu.
Mimi sio mlevi wa pombe ila Nina kilevi changu, na kuacha haiwezekani.[emoji14]
Back to topic.
Nmekua mtembeleaji mzuri wa bar ila sasa napata shida linapokuja suala la kuagiza kinywaji hasa ninapokua na marafiki zangu ambao wengi ni wanywaji.
Sasa nmeona haya maji na juice vimekua common kila "out" juice tuuuu. Maji tuuuu. Mpaka najikuta natengwaaa.
Hebu tupeane uzoefu kuna kinywaji ambacho sio kilevi kinaweza kua mbadala wa juice na maji hata kama ni expensive? Achilia hizi common Bavaria...?
AhahhhahHahaha
Sitaki kukisikia
Acha kabisaaa
Gland... duhGland Malta hutajuta aise
Ushauri mzuri sana. Hata kwa wajawazito wa kiumeBalimi, haina kilevi kabisa na ni nzuri kwa afya, huongeza damu mwilini !
Ngaseka sana mekuuu.... Wari wa kani!!! Kaa!![HASHTAG]#mbege[/HASHTAG]
Mkuu sijawah kutumia kilevi, nataman pia nivijue vinywaji vya non alcohol ili nikienda bar hata maybe kuchek game nivitumie.Utakua mlevi mkuu, hapa ni story za vinywaji laini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]