Kiafya sio nzuri hii, Si ya kuizoea sana.Redbull
Embu anndika hiyo ya tatu inavyotamkwa kwa kiswahili..Mimi huwa natumia
1. Maji
2. Grand malt.
3. Schweppes Novida
Nilivuta kiti, alipokuja akanifananisha na meza ya jirani "bia gani kaka?"Tatizo hukua na chochote mezani. Lazima utimuliwe [emoji23]
duu mkuu ulilazwa ulizidisha nyingi au vp,m naiskiaga hii kungfuu nadhaniaga ni kama enegy drink nyngne..ikoje kwani mkuu inakilevi au...Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele
Cc@Shunie
duu mkuu ulilazwa ulizidisha nyingi au vp,m naiskiaga hii kungfuu nadhaniaga ni kama enegy drink nyngne..ikoje kwani mkuu inakilevi au...Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele
Cc@Shunie
Kweli eehKiafya sio nzuri hii, Si ya kuizoea sana.
Ina nguvu mnoo, halafu nilikunywa kwa mara ya kwanza ujueduu mkuu ulilazwa ulizidisha nyingi au vp,m naiskiaga hii kungfuu nadhaniaga ni kama enegy drink nyngne..ikoje kwani mkuu inakilevi au...
duu mkuu bora umeni alert nilikua nataka n jaribu hiki kinywaji matangazo yake yamenihamasisha sana...,,kumbe iko na power ivo hadi unaeza ukazima.Ina nguvu mnoo, halafu nilikunywa kwa mara ya kwanza ujue
ila mkuu bia zina natural sugar nyingi mno ndani yake...,ile tam tam ya soda ni sukari ya miwa t applied in the process of making...Sio mpenzi wa vitu vyenye sukari sukari kama soda,malta na hizo pia.
Sasa mamii unataka nami nilazwe?[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]