Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele


Cc@Shunie
duu mkuu ulilazwa ulizidisha nyingi au vp,m naiskiaga hii kungfuu nadhaniaga ni kama enegy drink nyngne..ikoje kwani mkuu inakilevi au...
 
Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele


Cc@Shunie
duu mkuu ulilazwa ulizidisha nyingi au vp,m naiskiaga hii kungfuu nadhaniaga ni kama enegy drink nyngne..ikoje kwani mkuu inakilevi au...
 
Napendelea sana ceres za kopo. .kitu zabibu iko poa sana asee
 
Ina nguvu mnoo, halafu nilikunywa kwa mara ya kwanza ujue
duu mkuu bora umeni alert nilikua nataka n jaribu hiki kinywaji matangazo yake yamenihamasisha sana...,,kumbe iko na power ivo hadi unaeza ukazima.
 
Sio mpenzi wa vitu vyenye sukari sukari kama soda,malta na hizo pia.

Sasa mamii unataka nami nilazwe?[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
ila mkuu bia zina natural sugar nyingi mno ndani yake...,ile tam tam ya soda ni sukari ya miwa t applied in the process of making...
 
Washikaji huwa wananiita mzee wa kujaza nzi, ni mwendo wa soda, juicekubwa au GlandMalt, hasa Gland Malt ndo saaaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…