Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo wangu alikunywa Dragon akazimiaKuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele
Cc@Shunie
KhaaaMdogo wangu alikunywa Dragon akazimia
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mwanaume gani unaagiza juice ukiwa bar....!!
Kukaribisha nzi mezani tu!
Sitaki hata kuzionaMhhh nmeitoa kwenye list tayar.
Kuna watu huwa wanahisi kukaa bar muda mrefu ni sifa.Kwenda bar au kutotumia kilevi si tatizo, tatizo ni kupoteza muda mrefu na walevi huku wewe ukijaza tumbo kwa soda au mijuice.
Nenda bar kwa shughuli maalum kwa kula au maongezi yenye tija, ukimaliza we sepa waachie meza zao walevi la sivyo utaona tu wanakukera...
Mie sijawahi kunywa hizo energy drinks sijui kwanini!!Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele
Cc@Shunie
Jaribu siku moja hebuMie sijawahi kunywa hizo energy drinks sijui kwanini!!
I used to drink savannah...but na Mimi huu mwaka 2018 nimepiga chini sitaki aina yeyote ya alcohol hata kama ina 1% sitaki..na hao mashost chapombe nimewapiga chini2018 pombe nimeshaipiga teke kwa upande wangu naiona haina faida kwa sasa japo nateseka sana katika kipindi hichi kifupi lakini najipa moyo nitashinda tu ya ni mwendo wa ceres juice mpaka nifanane nazo
Sio mpenzi wa vitu vyenye sukari sukari kama soda,malta na hizo pia.Jaribu siku moja hebu