Tusiombe tuwe na viongozi wenye roho ngumu kama Sudan. Papa anawapigia magoti na kuwasujudia waache vita lakini wao hawaelewi

Tusiombe tuwe na viongozi wenye roho ngumu kama Sudan. Papa anawapigia magoti na kuwasujudia waache vita lakini wao hawaelewi

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mkuu wa Kanisa la Roma Duniani alikuwa nchini Sudani. Katika kuimiza Amani aliongoa Kwa uchungu sana. Akuishia kuongea Tu Bali akachukua jukumu la kuwapigia magoti kiongozi mmoja mmoja.

Pamoja na hayo yote bado hatuoni wakiwa serious kutatua changamoto zao. Wakati papa natokwa machozi wao wala kama vile awajasikia. Tujiulize hawa watu wenye roho ngumu vile hatunao? Kama tunao, siku wakiruhisiwa kutuongoza tutabaki salama na upole wetu?

Tuliombee Taifa lizidi kuwa na viongozi WA Aina ya Mama Samia, akina Mbowe na wengine wa Kariba hiyo. Viongozi ambao kwao wao wananchi ni Jambo la msingi kuliko madaraka.

Tuombe sana
 
Hayo maombi mnayo omba kila uchwao yame lisaidia nini Taifa mpaka sasa ?
Usidharau nguvu ya maombi. Hata hali tuliyonayo sasa ni kwa sababu kuna watu wanaomba usiku na mchana na Mungu anasikia.
 
Usidharau nguvu ya maombi. Hata hali tuliyonayo sasa ni kwa sababu kuna watu wanaomba usiku na mchana na Mungu anasikia.
Kama huyo Mungu ana sikia mpaka sasa kama taifa tusinge kuwa bado tuna tawaliwa kimabavu na wanyang'anyi, wauaji na mafisadi [ CCM ]
 
Kawasujududia! Papa wa mchongo wa Nubi wamemstukia.
 
Ukishaona Papa kapita nchini kwako kuwaomba mmalize vita kwa amani ujue hiyo ni Red flag kwenye nchini yenu na mkiendelea kuwa wabishi kundi linalofuata baada ya Papa kuondoka ni lile litakalokuja kuwamaliza.. Yaani nchi inanyooka yenyeweee.. Afrika tunapenda kwenda kwa mijeredi..
 
Kama huyo Mungu ana sikia mpaka sasa kama taifa tusinge kuwa bado tuna tawaliwa kimabavu na wanyang'anyi, wauaji na mafisadi [ CCM ]
Ww uliwahi jaribu kumuomba MUNGU kabisa kabisa na hakusikia ,au umeamua tu kumkejeli kwamba hasikii wakati unajua ulikuwa unamjaribu.Ww unaonekana una mzaha mwingi ndio maana hakukukisikiliza.Mm nadhani MUNGU tusifike mahali tukamkufulu tumuache huyu baba yetu.Sisi tuangalie pale tuliposhindwa kutimiza wajibu wetu individually kwa kuonyesha waziwazi kwamba tunakerekwa na huo uovu kama Ufisadi na mengine mengi.
 
Ww uliwahi jaribu kumuomba MUNGU kabisa kabisa na hakusikia ,au umeamua tu kumkejeli kwamba hasikii wakati unajua ulikuwa unamjaribu.Ww unaonekana una mzaha mwingi ndio maana hakukukisikiliza.Mm nadhani MUNGU tusifike mahali tukamkufulu tumuache huyu baba yetu.Sisi tuangalie pale tuliposhindwa kutimiza wajibu wetu individually kwa kuonyesha waziwazi kwamba tunakerekwa na huo uovu kama Ufisadi na mengine mengi.
Angekuwa ana sikia au kuona taifa lisinge kuwa hivi.
 
Angekuwa ana sikia au kuona taifa lisinge kuwa hivi.
Kama ww umelala na MUNGU alikupa akili,macho na masikio ya kuona jiulize hayo yote uliyoyaona na kujua kwamba ni ya hovyo umewahi hata kuomba kibali ufanye walau matembezi yako ya amani ili watu wanaofanya Ufisadi wapate ujumbe?
 
Kama ww umelala na MUNGU alikupa akili,macho na masikio ya kuona jiulize hayo yote uliyoyaona na kujua kwamba ni ya hovyo umewahi hata kuomba kibali ufanye walau matembezi yako ya amani ili watu wanaofanya Ufisadi wapate ujumbe?
Yamefanyika yaliyo weza kufanyika hakuna kilicho badilika.
 
Mkuu wa Kanisa la Roma Duniani alikuwa nchini Sudani. Katika kuimiza Amani aliongoa Kwa uchungu sana. Akuishia kuongea Tu Bali akachukua jukumu la kuwapigia magoti kiongozi mmoja mmoja.

Pamoja na hayo yote bado hatuoni wakiwa serious kutatua changamoto zao. Wakati papa natokwa machozi wao wala kama vile awajasikia. Tujiulize hawa watu wenye roho ngumu vile hatunao? Kama tunao, siku wakiruhisiwa kutuongoza tutabaki salama na upole wetu?

Tuliombee Taifa lizidi kuwa na viongozi WA Aina ya Mama Samia, akina Mbowe na wengine wa Kariba hiyo. Viongozi ambao kwao wao wananchi ni Jambo la msingi kuliko madaraka.

Tuombe sana
Kuna mtu aliambiwa na Askofu atubu badala ya kwenda kuungama yeye aka organize Takukuru, TRA, Uhamiaji na wale wengine wa Miwani mieusi.
 
Ukishaona papa kapita nchini kwako kuwaomba mmalize vita kwa amani ujue hiyo ni Red flag kwenye nchini yenu na mkiendelea kuwa wabishi kundi linalofuata baada ya papa kuondoka ni lile litakalokuja kuwamaliza nchini inanyooka yenyewe
😅😅😅😅hapa Tanzania wapo pia
 
Back
Top Bottom