Tusiopenda Kufichwa mambo hatimaye kisiri kabisa tumeshajua kwanini Kocha Sven Vandebroek Kasepa ghafla

Tusiopenda Kufichwa mambo hatimaye kisiri kabisa tumeshajua kwanini Kocha Sven Vandebroek Kasepa ghafla

Ni kweli mkuu, Ila kumbuka kipindi hicho group stages ilikuwa ni robo finali maana ilikuwa ni nane bora na magroup mawili siyo hii ya kwenu ya 16 bora na magroup manne. Kama nimekosea naomba kusahihishwa mkuu.
Screen Shot 2021-01-08 at 2.40.58 PM.png
wikipedia hii inaniambia formart ya sasa ilianza 1997 so ya 98 ilkuwa second edition
 
hakukuwa n mechi nyingi za awali kama sasa maana ukisema hivyo usisahau basi simba nusu fainal mwaka 1974 klabu bingwa ikatolewa na mehala al kubra,kufika robo fainali ilkuwa ni mserereko tu siyo kama sasa
Wewe inaonyesha huna kumbukumbu vizuri. Kipindi kile ili ufike group stages zilichezwa mechi nyingi tofauti na Sasa mechi 4 tu tayari group stages. Unacheza na timu mbili tu tayari ukifanikwa kuzipiga huko group stages
 
Wewe inaonyesha huna kumbukumbu vizuri. Kipindi kile ili ufike group stages zilichezwa mechi nyingi tofauti na Sasa mechi 4 tu tayari group stages. Unacheza na timu mbili tu tayari ukifanikwa kuzipiga huko group stages
yanga alicheza na team mbili tu ,rayon ya rwanda na coffee ya ethiopia akakutana na yaliyomkuta,umeelewa sasa tofauti boss wangu?sasa hivi ukicheza na team mbili unajikuta 16 bora unagonga wee halfu kncok out tena
 
View attachment 1671794wikipedia hii inaniambia formart ya sasa ilianza 1997 so ya 98 ilkuwa second edition
Asante mkuu ulicholeta hapa kinadhibitisha nilichoandika ni sahihi. Kipindi kile ili ufike group stages ilitskiwa uchezee mechi sita. Preliminary stage, first round, second round ndiyo ufike group stages. Nowday unacheza preliminary stage, first round and then group stages, you can see the difference.
 
Asante mkuu ulicholeta hapa kinadhibitisha nilichoandika ni sahihi. Kipindi kile ili ufike group stages ilitskiwa uchezee mechi sita. Preliminary stage, first round, second round ndiyo ufike group stages. Nowday unacheza preliminary stage, first round and then group stages, you can see the difference.
mzee teams zilkuwa 52 tu leo kuna teams 64 ..na yanga alianzia round ya kwanza siyo ya awali,rayon na coffe ndiyo walianza awali si ufungue link hiyo uone mwenyewe yanga alicheza mechio mbili tu akajikuta kwenye makundi,link ipo bado unabisha
 

Attachments

  • Screen Shot 2021-01-08 at 2.51.38 PM.png
    Screen Shot 2021-01-08 at 2.51.38 PM.png
    29.9 KB · Views: 1
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.

2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.

3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.

Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Yanga mna assume tofauti, hakuna sababu hta moja uliyotaja, tuachie simba yetu
 
Asante mkuu ulicholeta hapa kinadhibitisha nilichoandika ni sahihi. Kipindi kile ili ufike group stages ilitskiwa uchezee mechi sita. Preliminary stage, first round, second round ndiyo ufike group stages. Nowday unacheza preliminary stage, first round and then group stages, you can see the difference.
NA HAIKUITWA ROBO FAINALI DESPITE WEWE KUONA NI TEAMS 8 ZIKO HAPA ILIKUWA NI WEIRD FORMAT SANA SABABU MSHINDI WA KWANZA WA KILA KUNDI ALIENDA MOJA KWA MOJA FAINALI NDIPO MIMOSAH WAKACHUKUA KOMBE....HIZO TEAMS NANE ZILIITWA ZIKO GROUP STAGE SIYO ROBO FINAL
Screen Shot 2021-01-08 at 2.55.52 PM.png
 
Asante mkuu ulicholeta hapa kinadhibitisha nilichoandika ni sahihi. Kipindi kile ili ufike group stages ilitskiwa uchezee mechi sita. Preliminary stage, first round, second round ndiyo ufike group stages. Nowday unacheza preliminary stage, first round and then group stages, you can see the difference.
kama unataka linganisha format ya 1998 ya teams 8 n aile ya 2018 ya teams 8 ni kichekesho,hiyo ya zamani mshindi wa group A na wa Group B waliingia fainali moja kwa moja hii ya simba ya mwaka juzi ilibidi watu wapite kwanza nusu fainali....
 
NA HAIKUITWA ROBO FAINALI DESPITE WEWE KUONA NI TEAMS 8 ZIKO HAPA ILIKUWA NI WEIRD FORMAT SANA SABABU MSHINDI WA KWANZA WA KILA KUNDI ALIENDA MOJA KWA MOJA FAINALI NDIPO MIMOSAH WAKACHUKUA KOMBE....HIZO TEAMS NANE ZILIITWA ZIKO GROUP STAGE SIYO ROBO FINAL
View attachment 1671806
Ni sahihi unachosema, lakini mkicheza mashindano zikiwa timu zaidi ya hamsini na finally zikabaki only timu nane tu, maana yake si ndiyo nane bora mkuu?
 
Ni sahihi unachosema, lakini mkicheza mashindano zikiwa timu zaidi ya hamsini na finally zikabaki only timu nane tu, maana yake si ndiyo nane bora mkuu?
siyo robo fainali sasa ndipo tunapobishana ndugu yangu,kufika robo ya sasa inabidi ucheze mechi 10,kama hiyo ingekuwa robo ni kituko yanga alifika nane bora kwa mechi nne angeanzia preliminary angefika kwa mechi sita ...nane bora ya sasa ukianzia preliminary unapiga mechi nne kama simba kwa sasa then makundi unapiga mechi sita jumla 10 bado kwenye nane tena upite nne bora kuiona fainali kwa format ile ina maana yanga haikuwa mbali na fainali
 
All in all set up ya mashindano ya CAF kwa ngazi ya vilabu haiwezi kutoa a competent team ukilinganiaha na mfumo wa UEFA champion, nadhani bado tuna safari ndefu kuwafikia wazungu aisee.
 
4. Ameelekezwa kwenye kila mechi ya simba anywe damu ya paka mweusi, amekataa
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.

2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.

3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.

Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
 
Tuachane na utamaduni wa kubet kwenye kila kitu! Huyo kocha ana familia huko ulaya hivyo kaenda kutazama familia yake na wala si vinginevyo!

Suala la Mkude kuna kitu uongozi umeshakosea toka mwanzo na kumlea akaleleka kama alivyo! Mkude kacheza Simba sasa ni zaidi ya miaka 10, Hivyo ni jambo la ajabu leo akaonekana hana nidhamu wakati anaelekea kuzeekea Simba, isiwe kaanza kuwekewa mizengwe sababu Simba wamempa Thadeo Lwanga.

Kuhusu Morisoni sioni shida ya kuwepo kwake anaweza kucheza kama winga wa kushoto iwapo kocha atamtengenezea combination nzuri au atatengenezewa watu wanaoweza kucheza nae vizuri.

Medie Kagere bado ni bonge la straika hata mahasimu wetu wengi wanammezea, Simba wakirogwa wakamuacha mshambuliaji huyu kwa maneno ya mitandaoni itakuwa kama ilivyokuwa kwa Hamis Tambwe, maaa atadakwa na mahasimu wetu alafu huyohuyo ndio atakuwa silaha ya maangamizi kwa Simba.

Kagere atafutiwe tu formation nzuziri na ajengewe mahusiano mazuri na wenzake ili waendelee kumpa support na pasitokee wa kumuhujumu!
Siko hapa JF Kujibizana na Wapumbavu tafadhali. Aliyeniambia na Kunihakikishia hili kwa 99% ni sehemu kamili ya Simba SC. Bishaneni kwingine.
 
bro mambo haya yanachekesha sana kishingo kapata offer kubwa afrika ya kaskazini na ni karibu na ulaya hata kwa ndege kwa nini akatae?miluzi itapigwa mingi sana utopolo wana stress sana kilichobaki ni kuwacheka tu,ndani ya miaka 3 group stages mara mbili hawa utopolo fc mara ya mwisho ilikuwa 1998,wapuuze tu.TUSUBIRIE DRAW YA BIG BOYS WA AFRICA LEO SAA TISA
Siko hapa JF Kujibizana na Wapumbavu tafadhali. Aliyeniambia na Kunihakikishia hili kwa 99% ni sehemu kamili ya Simba SC. Bishaneni kwingine
 
Yeye ni muajiriwa hivyo alitakiwa atimize maelekezo ya boss wake! Haiwezekani ukataka kufanya kila unachotaka wewe wakati anayekulipa mshahara hakitaki. Utakuwa ama mwendawazimu au umeichoka kazi au hujielewi
Kibongo bongo na njaa zetu unaendelea ila anayethamini kazi yake na hana njaa hawezi.
 
Bwalya hayupo Zambia wala si mzambia....inawezekana humjui tu unawezaje kujua uwezo wake?..huyo jamaa ni mkongo huyu wa Simba ndo mzambia..
Nikiwadharau hamna Akili mnakasirika. Nimesema alikuwa anamtaka Walter Bwalya aliyeko Al Ahly sasa au unadhani silijui hili? Acha Kuniboa Ok?
 
Mleta mada acha ubashiri. Kumbuka Sven amekuja Simba akiwa na CV ndogo ila imani waliyoweka viongozi ilikuwa kubwa. Katengeneza CV yake akiwa Simba kifupi Simba imemjenga. Kuondoka kwake either ameangalia mbali au ameona asichafue CV yake. Ameomba kuondoka mwenyewe.

Acha kupiga ramli ongea au andika.facts
Siko hapa JF Kujibizana na Wapumbavu tafadhali. Aliyeniambia na Kunihakikishia hili kwa 99% ni sehemu kamili ya Simba SC. Bishaneni kwingine.
 
Back
Top Bottom