Tusipinge Simba na Yanga kupokea na kushangilia timu za kigeni bali tuboreshe ili kutengeneza utalii wa michezo ( Sport tourism)

Tusipinge Simba na Yanga kupokea na kushangilia timu za kigeni bali tuboreshe ili kutengeneza utalii wa michezo ( Sport tourism)

avogadro

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
8,082
Reaction score
14,457
➡️ Kwa muda mrefu wadau wahafidhina wa michezo hapa nchini wamekuwa wanakereka na tabia iliyoota mizozi ya Simba na Yanga kupokea na kushangilia timu za nchi nyingine zinazokuja kucheza na timu mojawapo kwa kusema kuwa wanakosa uzalendo

➡️ Jambo hili wamepambana nalo na limeshindikana kwa sababu ya historia ya kutaniana na kuombeana njaa baina ya timu hizo mbili kongwe

➡️Kila nchi ila utamaduni wake katika soka, zipo ambazo zinaweza huonuzalendo lakini kwa nchi kama Tanzania imeshindikana na hakuna timu ngeni inayokuja kucheza na timu hizo hukosa mwenyeji hivyo hujisikia nyumbani.

➡️ Badala ya kuendelea kupambana na upepo tungehalalisha na kuboresha zaidi ili ivutie timu na nchi mbalimbali kutumia uwanja wetu kama uwanja wao wa nyumbani.

➡️ Wahamasishaji wa hizi timu wangetumika ili kuujaza uwanja na kwa kugawanyika kwa kuvaa jezi za timu hizo ili wapate lile vibe la washabiki na kuleta hamasa.

➡️Kuna baadhi ya nchi ama hazina viwanja vyenye viwango au sababu ya vita na mambo mengine wangechagua uwanja wetu kuwa uwanja wa nyumbani

➡️Mfano timu ya burundi itautumia uwanja wetu dhidhi ya Cameroon, hivyo ingependeza viingilio vingeshushwa kidogo, wahamasishaji na washabiki wa Simba wanunue jezi za Cameroon na kuwashabikia na Wahamasishaji na mashabiki wa Yanga wanunue jezi na kuishangilia Burundii na sehemu ya mapato kidogo yangepewa timu hizo ili kuziboresha

➡️ Hii ingevutia nchi nyingi kuja bongo na ingetutangaza kimataifa, kuleta watalii na kuboresha soka letu la Bongo
 
Una hoja za msingi kwa kweli hili suala la uzalendo kwa timu zinazokuja kucheza na ama Simba au Yanga hatuliwezi kwa kuwa limekuwa sehemu ya utamaduni wa soka letu hapa Tanzania.
Basi zitafutwe njia nzuri hili suala ni fursa kwa kuingizia kipato nchi yetu kwani timu nyingi zitavutiwa kucheza hapa nchini kwa zitapata fans wengi na kuuza jezi zao.
 
Una hoja za msingi kwa kweli hili suala la uzalendo kwa timu zinazokuja kucheza na ama Simba au Yanga hatuliwezi kwa kuwa limekuwa sehemu ya utamaduni wa soka letu hapa Tanzania.
Basi zitafutwe njia nzuri hili suala ni fursa kwa kuingizia kipato nchi yetu kwani timu nyingi zitavutiwa kucheza hapa nchini kwa zitapata fans wengi na kuuza jezi zao.
Sahihi kabisa ndugu
 
[emoji3591] Kwa muda mrefu wadau wahafidhina wa michezo hapa nchini wamekuwa wanakereka na tabia iliyoota mizozi ya Simba na Yanga kupokea na kushangilia timu za nchi nyingine zinazokuja kucheza na timu mojawapo kwa kusema kuwa wanakosa uzalendo

[emoji3591] Jambo hili wamepambana nalo na limeshindikana kwa sababu ya historia ya kutaniana na kuombeana njaa baina ya timu hizo mbili kongwe

[emoji3591]Kila nchi ila utamaduni wake katika soka, zipo ambazo zinaweza huonuzalendo lakini kwa nchi kama Tanzania imeshindikana na hakuna timu ngeni inayokuja kucheza na timu hizo hukosa mwenyeji hivyo hujisikia nyumbani.

[emoji3591] Badala ya kuendelea kupambana na upepo tungehalalisha na kuboresha zaidi ili ivutie timu na nchi mbalimbali kutumia uwanja wetu kama uwanja wao wa nyumbani.

[emoji3591] Wahamasishaji wa hizi timu wangetumika ili kuujaza uwanja na kwa kugawanyika kwa kuvaa jezi za timu hizo ili wapate lile vibe la washabiki na kuleta hamasa.

[emoji3591]Kuna baadhi ya nchi ama hazina viwanja vyenye viwango au sababu ya vita na mambo mengine wangechagua uwanja wetu kuwa uwanja wa nyumbani

[emoji3591]Mfano timu ya burundi itautumia uwanja wetu dhidhi ya Cameroon, hivyo ingependeza viingilio vingeshushwa kidogo, wahamasishaji na washabiki wa Simba wanunue jezi za Cameroon na kuwashabikia na Wahamasishaji na mashabiki wa Yanga wanunue jezi na kuishangilia Burundii na sehemu ya mapato kidogo yangepewa timu hizo ili kuziboresha

[emoji3591] Hii ingevutia nchi nyingi kuja bongo na ingetutangaza kimataifa, kuleta watalii na kuboresha soka letu la Bongo
Huo utumwa mnauweza nyie utopolo. Mnawapokea na kuwashangilia . Mkienda kwao mnapigika. Ole wenu safari hii mlete malalamiko kwamba mumefanyiwa figisu huko ugenini kama mlivyojilizaliza mwaka jana kwa Rivers tutawapiga vichwa.
 
Huo utumwa mnauweza nyie utopolo. Mnawapokea na kuwashangilia . Mkienda kwao mnapigika. Ole wenu safari hii mlete malalamiko kwamba mumefanyiwa figisu huko ugenini kama mlivyojilizaliza mwaka jana kwa Rivers tutawapiga vichwa.
Sipo kwenye hizo timu ila nimeangalia hali halisi na jinsi tutakavyo jitofautisha na nchi nyingine
 
Hapana wote tabia ni moja kuna wanaofanya hadharani wengine wanafanya kifichoni
Hizi zina utamaduni mmoja sema wengine wanawapokea kwa kificho lakini uwanjani utawaona dhahiri na mabango yao wakishangilia.
Tukubali tu sisi tunatofautiana na mashabiki wa nchi nyingine na kwa kuwa hatuwezi kubadilika tulifanye jambo hili liwe fursa kiuchumi.
 
Hizi zina utamaduni mmoja sema wengine wanawapokea kwa kificho lakini uwanjani utawaona dhahiri na mabango yao wakishangilia.
Tukubali tu sisi tunatofautiana na mashabiki wa nchi nyingine na kwa kuwa hatuwezi kubadilika tulifanye jambo hili liwe fursa kiuchumi.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom