Thubutu wa kaskazini wakutafuta na tochi pale Katoro. Aidha hiyo nyumba ya Mbowe mbona ya kawaida Sana. Hujaona mijengo niniNa waliojenga katoro ni watu wa kaskazini mostly
Hai kuna mabilionea wengi na wanajenga nyumba za kisasa kama ile ya Mbowe,
Hao ndio wanaoleta maendeleo kwa % kubwa,Thubutu wa kaskazini wakutafuta na tochi pale Katoro. Aidha hiyo nyumba ya Mbowe mbona ya kawaida Sana. Hujaona mijengo nini
Eti ni kweli mtu akifungua biashara Moshi wanauliza kabila lake? Eti wakijua siyo biashara mchaga wanahamasishana waisusie?Wafanyabiashara wengi wa huko ni watu wa kaskazini, nyie mko mnafuga n'gombe
Eti ni kweli mtu akifungua biashara Moshi wanauliza kabila lake? Eti wakijua siyo biashara mchaga wanahamasishana waisusie?
ukija mfumo wa majimbo ni ushindi wa sera ya chadema. Ccm wakijitia wazimu kupalilia majimbo watajitengenezea dubwasha la kuwamaliza kwa maana jimbo la kanda ya ziwa ndilo litakuwa na uwezo wa kuamua nani awe mshindi wa urais kwa kupata kura nyingi hukoKanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Itapendeza mikoa ndiyo iwe majimbo na si kanda.ukija mfumo wa majimbo ni ushindi wa sera ya chadema. Ccm wakijitia wazimu kupalilia majimbo watajitengenezea dubwasha la kuwamaliza kwa maana jimbo la kanda ya ziwa ndilo litakuwa na uwezo wa kuamua nani awe mshindi wa urais kwa kupata kura nyingi huko
Lakini wanataka wengine wawafanyie fairWale bado wana huo ujinga ndo maana miji yao haikui!