nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Utalii ndio sekta inayoliingizia taifa hili mapato mengi zaidi kuliko sekta nyingi zote.Karudie shule elimu ya gumbaru,,,mkoa kama mwaza,geita,shinyanga inamchango kidogo kivipi wakati almasi nchi hii ipo shinganga pekee,geita dhahabu,mwaza ziwa,simiyu na mara dhahabu.
Makonda anainyoosha nchi[emoji1787][emoji1787]Tuache unazi ww akisimama msukuma anaongelea mwanza tu ama ..Mpina nae akisimama anaongelea mwanza tu na kingine labda hujui Hii nchi itakuja kunyooshwa na mtu wa kanda ya ziwa mfano tulianza na JPM sasa kuna vijana tu km Makonda wanataka watu wasionewe.Nyie kaeni kuharibu nchi kabla ya kua wazalendo.Sasa hivi wabunge wanao ongea hoja za msingi ni walio toka bara ukija nnje unakutana na Makonda anasikiliza matatizo ya watu mikutanoni huko na ukiwatoa hao kuna kina nani tena wenye hoja za kizalendo
KishimbaWabunge Kanda ya ziwa wenye std ni msukuma pekee , cert ni inocent wa kyerwa, waliobaki digrii na PhD za kalemani, dotto na mabula
Bahati mbaya sana hali nzuri ya kiuchumi au maendeleo hayategemei sana rasilimali ulizo nazo bali uwezo wa kiakili wa raia kwa wingi wao katika eneo hilo. Ndio maana Israel, Singapore, Taiwan, Japan, Korea Kusini na nchi nyingi za Ulaya hawana rasilimali ila wameendelea sana...ni kanda yenye watu wengi, rasilimali nyingi, na viongozi au wawakilishi wabovu.
..kanda ya ziwa ingekuwa na viongozi makini wenye upo ingekuwa na hali bora ya kiuchumi kuliko maeneo yote hapa nchini. Yaani Watanzania tungekuwa tunakanyagana kujaribu kuhamia huko.
..so far viongozi wa CCM toka kanda ya ziwa wamekuwa WABINAFSI wa kutetea maslahi yao na ya chama chao badala ya kuwatetea wapigakura wao.
Hoja ya kipumbavu kabisa....Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Nope ndio nini Mkuu?Nope si kila kitu nchi hii, acha ku overrate vitu
Kanda ya ziwa ni Wahaya tu ndio wasomi,wajanja,na makiniKanda ya ziwa ndyo kila kitu kwa Nchi hii ila kwa wanaoelewa. Na na ndyo kanda inayotoa watu makini sana kwa wanaoelewa pia wanaelewa hili
Wapigania Uhuru 90% walikuwa wazee wa Pwani,Hata aliewaletea uhuru alitoka huko, akajua kuwalindia rasilimali ambazo Leo mnagawa bure kwa wajomba na vibaraka wenu
Wafanyabiashara wengi wa huko ni watu wa kaskazini, nyie mko mnafuga n'gombeUwezo Ndogo sana wa kuelewa Mambo, fuatilia uone kama kuna Kanda nyingine ya kushindana na Kanda ya Ziwa kwenye mchango wake kwa Taifa ukitoa Dar wanaotegemea zaidi bandari. Huu mchezo hauhitaji hasira utayanywa tu maji upende usipende. Lake Zone ni level nyingine wewe.
Haina haja ya kumsumbua Mzee wangu Mohamed Said, huo ni Ukweli Mwalimu anaingia TAA/TANU kakuta wazee wa Pwani Kina Sykes,Seleman takadiri,dossa azizi,Bi.titi washaweka misingiWalete Mohamed Said na FaizaFoxy
Uongozi una uhusiano mkubwa sana na elimu na hasa ubora wa elimu yenyewe ila kila mahali au kila jambo huwa kunaweza kuwa na exceptions.Toka lina elimu ikawa na uhusiano na maendeleo? Na toka lini uongozi ukawa na uhusiano na elimu?, Uongozi ni kipawa mtu anazaliwa nacho.
uzuri wana mchango mdogo sana kwenye uchumi wa nchi...[emoji23]
Bale...Haina haja ya kumsumbua Mzee wangu Mohamed Said, huo ni Ukweli Mwalimu anaingia TAA/TANU kakuta wazee wa Pwani Kina Sykes,Seleman takadiri,dossa azizi,Bi.titi washaweka misingi