Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 639
- 1,919
Hata Mwamposa,Mzee wa upako wanatoka hukoKanda ya ziwa ndyo kila kitu kwa Nchi hii ila kwa wanaoelewa. Na na ndyo kanda inayotoa watu makini sana kwa wanaoelewa pia wanaelewa hili
Pia prof Mwandosya na Nape Nauye wanatoka huko Mwanza na shinyanga
Jenista Mhagama na simbachawene wanatoka Chato pia