Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Nilihisi utamwamaga point. La haulAaa
Sasa watoto wakiongezeka kila mwaka, suluhisho si kuongeza classes? Sawa pamoja na mengine yakudiscuss ni muhimu lkn madarasa hayahitaji discussion km kweli watoto wanaongezeka
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee hilo trailer tu subiri wale wanaotekeleza sera ya fyatueni tu ya Magu, watoto wao wafike umri wa kwenda shule serikali ya ccm itaomba misaada ya kujenga madarasa mpaka itakuwa aibu
 
John pede ndauli?

Mimi nikafikiri utamwaga nondo za nini kifanyike kumbe hujaleta chochote.

Ni kwamba kuongeza madarasa na madawati kila mwaka ni sawa kabisa. Lakini wanachokosea hawa ni kukumbuka shuka kumekucha. Hiyo ishu inatakiwa ianze kufanyiwa tathmini tangu januari mwaka unapoanza.

Hili tatizo la watoto kukosa madarasa lipo kila mwaka tangu nchi hii kupata uhuru, sijui kwanini hawajipangi mapema.
 
John pede ndauli?

Mimi nikafikiri utamwaga nondo za nini kifanyike kumbe hujaleta chochote.

Ni kwamba kuongeza madarasa na madawati kila mwaka ni sawa kabisa. Lakini wanachokosea hawa ni kukumbuka shuka kumekucha. Hiyo ishu inatakiwa ianze kufanyiwa tathmini tangu januari mwaka unapoanza.

Hili tatizo la watoto kukosa madarasa lipo kila mwaka tangu nchi hii kupata uhuru, sijui kwanini hawajipangi mapema.
Ndahihi mwagito!
 
Hii ni kesi ya baadhi ya mikoa tu kuna mikoa mingine shule zinafungwa kwa kukosa watoto unalijua hiliii.....

Kuongeza madarasa kwa shule hizo sio option mana hata maeneo yanakwisha labda vitumike viwanja vya michezo (litakua kosa la ajabu).. Option na njia sahihi ni kuanzisha shule mpya ikiwa imetimia kwamaana ya kuanzia chekechea mpaka std vii.
Kuna kosa serikali inafanya kuigawa shule moja na kuwa mbili katika eneo moja HUU NI UJUHA WA HALI YA JUU...
KUNA haja pia Gvt ikaona umuhimu wa kuwa na madarasa ya juu (ghorofa) kusave space..

Kuhusu tathimini hili maafisa elimu (REO's) hua wanalifanya mapema sanaa ikiwemo kupredict kiwango cha kufaulu kwa idadi ya wanafunzi alionao kazi hubaki kwa makatibu tawala na watendaji (hasa wa kata) hapa ndo kwenye tatizo na pakufanyia kazi...

Imefika wakati wananchi wa mikoa fulani kuamka na kutoitegemea serikali katika ujenzi wa shule au madarasa vinginevyo wazazi wajue TANZANIA TUNAANDAA MAHOUSE GIRL kutoka mikoa fulani.

Tubadili mfumo wa elimu twende kwa technology hili linahitaji uwekezaji mkubwa na muda mrefu ambapo kwa TANZANIA ni kama haliwezekani.

Tuajiri walimu AJIRA, AJIRA, AJIRA, AJIRA wanafunzi wanaongezeka, madarasa yanaongezeka walimu wapo walewale haya mambo yaende sambamba... WALIMU WANATESEKA JAMANI, WAKIMU WANAUMIAAAA....

Kama kweli tunapenda elimu.... Gvt iweke kipaumbele huko SOON RWANDA anaenda kutake over AFRICA kwa elimu.

Mwisho kama elimu ya uzazi hatitolewa kwa baadhi ya maeneo TANZANIA tumekwisha.
 
Iko hivi kwa tathmini yangu,tatizo linaanzia kwa maafisa elimu kata.
Wao inapofika January wanatakiwa wafanye yafuatayo
1.afisa elimu kata aangalie Ana shule ngapi za msingi zenye darasa la Saba wangapi,kwa mfano Ana shule 7 za msingi Kila shule Ina wanafunzi wa darasa la Saba 60 ,maana yake 60*7 sawa na wanafunzi 420 wa standard seven, Hawa unaweka asilimia tisini watafaulu,maana yake 400 wataenda sekondari.
Unaangalia shule zako za sekondari hapo katani ni ngapi kwa mfano ziko 3,sawa,Kila shule Ina uwezo wa kuchukua form one wangapi? Mfano uwezo ni 300 wanafunzi,kwa hiyo 100 hawatakua na nafasi wakifaulu,unalipeleka, kwenye kikao Cha maendeleo ya kata na kwa afisa elimu na mkurugenzi umemaliza.
 
Je maafisa elimu kata wanafanya hivyo nilivyoandika hapo juu.jibu hakuna wanasubiri watoto wafaulu kwanza.
 
Iko hivi kwa tathmini yangu,tatizo linaanzia kwa maafisa elimu kata.
Wao inapofika January wanatakiwa wafanye yafuatayo
1.afisa elimu kata aangalie Ana shule ngapi za msingi zenye darasa la Saba wangapi,kwa mfano Ana shule 7 za msingi Kila shule Ina wanafunzi wa darasa la Saba 60 ,maana yake 60*7 sawa na wanafunzi 420 wa standard seven, Hawa unaweka asilimia tisini watafaulu,maana yake 400 wataenda sekondari.
Unaangalia shule zako za sekondari hapo katani ni ngapi kwa mfano ziko 3,sawa,Kila shule Ina uwezo wa kuchukua form one wangapi? Mfano uwezo ni 300 wanafunzi,kwa hiyo 100 hawatakua na nafasi wakifaulu,unalipeleka, kwenye kikao Cha maendeleo ya kata na kwa afisa elimu na mkurugenzi umemaliza.
Congrats.Hil suala nimeliwaza sana jana na nimefarijika kuona na wewe pia ni the same
 
Back
Top Bottom