johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.
Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.
Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.
Elimu......Elimu......Elimu.
Maendeleo hayana vyama!
Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.
Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.
Elimu......Elimu......Elimu.
Maendeleo hayana vyama!