Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

Siyo mfumo wa Elimu bali ni serikali yote ibadilishwe lasivyo tunatwanga maji kwenye KINU
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Swali lako ni zuri lakini ulivyoliweka kuna walakin. Kama wanafunzi darasa la 1 wanaongezeka kila mwaka (kwa sababu tunazidi kuzaa na kuhamia 5%), maana yake ni kwamba shule iliyokuwa na madawati 400 sasa itabidi iongeze nadawati 20 kama wamezaliwa watoto 20. What is wrong with that? Ila kama unataka kusema hawa 20 wasome kwa Internet wakiwa nyumbani, hapo sawa: hutahitaji madawati 20. Una maana hiyo, au ninakusemea? Waziri Jaffo ana shughuli nyingi, mpe maoni mbadala.
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!

Suala ni mzee baba alisema tufyatue tu.

Acha watu waongezeke labda mzee baba ndio atashtuka kumbe kuwa na watoto wengi sio dili bali balaa.

Atajenga madarasa mpaka akome
 
Shida ya kuwa na malengo ya matamanio yako peke yako hayo,hata waumini wa mtazamo huo mnaanza kuweweseka nini,tulia dawa iwaingie.
Mwaga point bwashee acha mbwembwe
 
Kati ya siku uliwahi kuandika pumba humu ni leo. Ina maana hujui tatizo la huo uhaba. Umelaumu tu mimi nilifikiri utakuja na wazo ili waliangalie hahahah . Tatizo letu watanzania tunapenda kulaumu tu bila kutoa suluhisho
 
Umenena vyema ila mimi ni nani nichangie ujenzi wa madarasa RUVUMA nichangie pia ujenzi MARA... Ilipo fikia wananchi wajitoe kwa maeneo waliyopo unless serikali ianzie campain ya kitaifa kuchangia ujenzi wa madarasa yenye usawa na isiyo na ukakasi mana tushang'atwa na nyoka awali.

Ishu ya uzazi wa mpango pia ipo ukanda fulani zaidi ukubali au ukatae... DEMOGRAPHY ya nchi yetu inaongezeka kikanda
Haya suala LA watu kuongezeka linatakiwa liwepo mkuu.
Angalia nchi zenye watu wengi zilivyo mana ndo labour force inakuwa.

Niambie kuhusu China,India,Nigeria,Brazil watu wakoje na uchumi wao.
Ivi unajua sie bado tupo wachache ile population density bado kabisa ndugu. Kuna nchi huko ukanda Wa Scandinavian wao eneo lao ni 5× ya LA kwetu ila sie population yetu Iko 5× ya population yao.
Mie naunga mkono hii dhana ya watu kuongezeka watakaokufa ngoja wafe ila ndo akili zitakaa sawa watu.
 
Haya suala LA watu kuongezeka linatakiwa liwepo mkuu.
Angalia nchi zenye watu wengi zilivyo mana ndo labour force inakuwa.

Niambie kuhusu China,India,Nigeria,Brazil watu wakoje na uchumi wao.
Ivi unajua sie bado tupo wachache ile population density bado kabisa ndugu. Kuna nchi huko ukanda Wa Scandinavian wao eneo lao ni 5× ya LA kwetu ila sie population yetu Iko 5× ya population yao.
Mie naunga mkono hii dhana ya watu kuongezeka watakaokufa ngoja wafe ila ndo akili zitakaa sawa watu.
Ongezeko la watu sio la kuangalia india, china nk ni la kuangalia sisi JE tunaweza kulibeba hili ongezeko.....
Uchumi wa mtu moja moja ukoje??
Je serikali inauwezo wa kulibeba hili tuchukue mfano mdogo ktk elimu??

China ongezeko la watu linaenda sambamba na ukuajinwa uchumi na teknolojia.. Tanzania je??
 
Mi nikadhani unakuja na suggestions za kutatua tatizo, kumbe ni kuona tatizo na kuanza kunyooshea wengine vidole! Tubadilike
 
Hili tatizo haliwezi kuisha kama hatudhibiti Ongezeko la watu kupitia sera za uzazi wa mpango, Idadi ya watu inayoongezeka ni kubwa sana ikilinganishwa na Miundombinu yetu, Rasilimali na fursa za ajira. Kibaya zaidi hawa watu wanaoongezeka wengi wao wanatoka kwa wazazi ambao hawana mchango mkubwa sana kwa taifa matokeo yake hawawezi kuhudumia watoto wao na Mzigo ni serikali ndo ina ubeba, Dhibiti ongezeko la watu afu tuone kama watu watakosa nafasi za kusoma au ajira
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
hawana uwezo huo
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Ulitaka kuwa na hoja ila umekosa hoja.Historia ya elimu nchini hauijui kiasi cha wewe kuweza kufungua uzi na kujadili.
Huwezi kuzuia watu kuongezeka utakuwa mchawi .
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe unashauri kipi kifanyike ili kuliondoa tatizo hilo kama mnafyatua watoto kwa fujo?
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
akili za BAVICHA bhanaa, ni mfu kabisa.
 
Back
Top Bottom