Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

Mbona kama unajitenga kama wewe sio sehemu ya Tanzania. Hata kama kwako kuko vizuri inatakiwa ulichukulie kiumoja mkuu. Na sio kuwa elimu ya uzazi baadhi ya mikoa,Mara mikoa mingine watu waamke waanze kujenga shule. Inatakiwa hata kama wewe sio Wa Huo mkoa wakitaka kujenga unachangia mana ni mama yako Tanzania unainyanyua ukiwa na mawazo ya ivyo hatutaendelea.
Kwa mama yako mmesoma na MNA maisha mazuri ila je kizazi cha babu yako mkubwa ama mdogo wako wakoje. Waone kama ni sehemu ya uzao Wa babu yako ama baba yako mkuu.
Kuwa na mentality ya kuifanyia Tanzania kitu uje Ku kumbukwa.

Ujue Africa tupo nyumba kisa ya mentality ya ki kanda kikabila ama kidini ivyo vitu vinatufanya tunagawanyika.
Angalia Rwanda Ethiopia ama kenya kinachofanyika.


Unakumbuka kuwa ama unajua kuwa ndugu zetu wangekuwa na akili wao ndo wangetoa mtawala Wa kwanza Tanganyika lakini kaka.
Ila wamejaa sana ama wamejaa sana ukabila kichwani ndo kinachowaumiza na kitAzidi kuwaumiza. Sawa wamesoma lakini sio kuwa wao ni bora ama ni wajanja kuliko wengine.

Na wewe rahisi utakuwa unatokea huko.


Kama haujui Mangi Mareale alipishana na Nyerere airport yaani mareale Anaingia Tanganyika naye Nyerere ndo anapenda ndege anaenda UN huko huko Mareale alikotoka.

Sasa Marelae yeye alienda kuomba Uhuru Wa Kaskazini yaani ile kanda tu ila Nyerere yeye alivyoenda UN aliomba Uhuru Wa Tanganyika na akapewa mkuu.
Leo ujue.
Hii ni kesi ya baadhi ya mikoa tu kuna mikoa mingine shule zinafungwa kwa kukosa watoto unalijua hiliii.....

Kuongeza madarasa kwa shule hizo sio option mana hata maeneo yanakwisha labda vitumike viwanja vya michezo (litakua kosa la ajabu).. Option na njia sahihi ni kuanzisha shule mpya ikiwa imetimia kwamaana ya kuanzia chekechea mpaka std vii.
Kuna kosa serikali inafanya kuigawa shule moja na kuwa mbili katika eneo moja HUU NI UJUHA WA HALI YA JUU...
KUNA haja pia Gvt ikaona umuhimu wa kuwa na madarasa ya juu (ghorofa) kusave space..

Kuhusu tathimini hili maafisa elimu (REO's) hua wanalifanya mapema sanaa ikiwemo kupredict kiwango cha kufaulu kwa idadi ya wanafunzi alionao kazi hubaki kwa makatibu tawala na watendaji (hasa wa kata) hapa ndo kwenye tatizo na pakufanyia kazi...

Imefika wakati wananchi wa mikoa fulani kuamka na kutoitegemea serikali katika ujenzi wa shule au madarasa vinginevyo wazazi wajue TANZANIA TUNAANDAA MAHOUSE GIRL kutoka mikoa fulani.

Tubadili mfumo wa elimu twende kwa technology hili linahitaji uwekezaji mkubwa na muda mrefu ambapo kwa TANZANIA ni kama haliwezekani.

Tuajiri walimu AJIRA, AJIRA, AJIRA, AJIRA wanafunzi wanaongezeka, madarasa yanaongezeka walimu wapo walewale haya mambo yaende sambamba... WALIMU WANATESEKA JAMANI, WAKIMU WANAUMIAAAA....

Kama kweli tunapenda elimu.... Gvt iweke kipaumbele huko SOON RWANDA anaenda kutake over AFRICA kwa elimu.

Mwisho kama elimu ya uzazi hatitolewa kwa baadhi ya maeneo TANZANIA tumekwisha.
 
Serikali imeshindwa kupanga mipango yake kitaalam. Kila mwaka ikifika mwishoni mwa mwaka wanakurupuka kwa maagizo kwa ma-RC,RAS,DC,DAS,REOs,DEDs,DEOs,wEOs kuhakikisha Kuna madarasa mapya yanajengwa na madawati.

Hakuna mipango tabirifu (forecasting Plans) inayowezesha kuandaa bajeti ya kufanya hayo mapema kupitia taarifa/data na takwimu za wanafunzi zilizopo,zilizopita na zinazotegemea kuja. Ni dhahiri taarifa na takwimu hazifanyiwi kazi ipasavyo na ndio maana tunaona maagizo mwisho wa mwaka kuzuia viongozi wa mikoa na wilaya kutoenda likizo.

Athari za kutopanga mipango mapema kwa kutumia takwimu zilizopo kukadiria mahitaji ya baadae kwenye sekta ya elimu, ni pamoja na maagizo yanayotekelezwa kisiasa ambayo huwafanya watoto kuishia kukaa sakafuni,chini ya miti,kukosa nafasi ya kuendelea kusoma.

Lakini pia kukosekana rasilimali watu ya kutosha (Walimu,wataalamu wa maabara,wakutubi n.k) wa kuhudumia wanafunzi (hapo utakuta shule Ina wanafunzi 900_1200 alafu walimu kumi!) Matokeo yake Ni kufeli kwa wanafunzi na sekta ya elimu kwa ujumla.
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Ukitaka tu kulijua tatizo au Kiini kikubwa cha Elimu nchini Tanzania ni kwamba wale Failures wote Mashuleni Kimbilio lao Kuu ni katika Ualimu tu.
 
Watani zangu wazaramo 'fyatueni' tu serikali yangu itasomesha bure!
 
Tatizo sio mfumo wa elimu. Tatizo ni Demographic policies ziendane na Sera za uchumi wa nchi.
 
Mbona kama unajitenga kama wewe sio sehemu ya Tanzania. Hata kama kwako kuko vizuri inatakiwa ulichukulie kiumoja mkuu. Na sio kuwa elimu ya uzazi baadhi ya mikoa,Mara mikoa mingine watu waamke waanze kujenga shule. Inatakiwa hata kama wewe sio Wa Huo mkoa wakitaka kujenga unachangia mana ni mama yako Tanzania unainyanyua ukiwa na mawazo ya ivyo hatutaendelea.
Kwa mama yako mmesoma na MNA maisha mazuri ila je kizazi cha babu yako mkubwa ama mdogo wako wakoje. Waone kama ni sehemu ya uzao Wa babu yako ama baba yako mkuu.
Kuwa na mentality ya kuifanyia Tanzania kitu uje Ku kumbukwa.

Ujue Africa tupo nyumba kisa ya mentality ya ki kanda kikabila ama kidini ivyo vitu vinatufanya tunagawanyika.
Angalia Rwanda Ethiopia ama kenya kinachofanyika.


Unakumbuka kuwa ama unajua kuwa ndugu zetu wangekuwa na akili wao ndo wangetoa mtawala Wa kwanza Tanganyika lakini kaka.
Ila wamejaa sana ama wamejaa sana ukabila kichwani ndo kinachowaumiza na kitAzidi kuwaumiza. Sawa wamesoma lakini sio kuwa wao ni bora ama ni wajanja kuliko wengine.

Na wewe rahisi utakuwa unatokea huko.


Kama haujui Mangi Mareale alipishana na Nyerere airport yaani mareale Anaingia Tanganyika naye Nyerere ndo anapenda ndege anaenda UN huko huko Mareale alikotoka.

Sasa Marelae yeye alienda kuomba Uhuru Wa Kaskazini yaani ile kanda tu ila Nyerere yeye alivyoenda UN aliomba Uhuru Wa Tanganyika na akapewa mkuu.
Leo ujue.
Umenena vyema ila mimi ni nani nichangie ujenzi wa madarasa RUVUMA nichangie pia ujenzi MARA... Ilipo fikia wananchi wajitoe kwa maeneo waliyopo unless serikali ianzie campain ya kitaifa kuchangia ujenzi wa madarasa yenye usawa na isiyo na ukakasi mana tushang'atwa na nyoka awali.

Ishu ya uzazi wa mpango pia ipo ukanda fulani zaidi ukubali au ukatae... DEMOGRAPHY ya nchi yetu inaongezeka kikanda
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Hili lilishasemwa kitambo na msiowapenda "ujinga na umaskini..." ni mtaji kwa wazee wa kuchukua na kuweka waa...
Mkitutaka ushauri ndo mmeharibu kabisaa...
 
Tatizo la shida Kama hizi linatokana na Sera mbovu za kidemografia ( demographic policies), tuanze kwa kuamua kudhibiti uzalianaji holela ili kuwe na takwimu halisi za vizazi na vifo.
Serikali ibadilike na kuamua kutoa agizo maalumu la wastani wa watoto katika kila kaya.

Tusiendelee kudanganywa na wanasiasa eti tufyatue tu, tutajenga madarasa kila mwaka mpaka tutachoka huku utegemezi na umasikini vikiongezeka.
 
Bwashee hilo trailer tu subiri wale wanaotekeleza sera ya fyatueni tu ya Magu, watoto wao wafike umri wa kwenda shule serikali ya ccm itaomba misaada ya kujenga madarasa mpaka itakuwa aibu
Na mimi nilitaka kumkusha hicho hicho. Unajua viongozi wasio na maono ni maangamizi kwa Taifa. Tanzania sasa hivi moja ya sababu zinazofanya nchi ielemewe na mambo mengi ni hili suala la kuzaa hovyo. Ukiaenda uswazi huko majira ya jioni mitaani kuna vitoto kama sisimizi. Nchi kama watu wake wanazaa hovyo hovyo ni ngumu mno kupanga maendeleo. Halafu unakuta mtu anathubutu kuwahimiza watu ''wafyatue'' watoto eti ndiyo uchumi utakuwa!
 
Nilihisi utamwamaga point. La haulAaa
Sasa watoto wakiongezeka kila mwaka, suluhisho si kuongeza classes? Sawa pamoja na mengine yakudiscuss ni muhimu lkn madarasa hayahitaji discussion km kweli watoto wanaongezeka
Shida ya kuwa na malengo ya matamanio yako peke yako hayo,hata waumini wa mtazamo huo mnaanza kuweweseka nini,tulia dawa iwaingie.
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!

Nilidhani una pendekezo nini kifanyike, kumbe huna jipya. Muhuni mkubwa ww.
 
Kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza na kidato cha kwanza inaongezeka, na itaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo.

Kuongeza madarasa na kununua madawati mapya kila mwaka siyo suluhisho la kudumu.

Niwaombe Waziri wa elimu Prof Ndalichako na yule wa Tamisemi Dr Jaffo mkae pamoja kuangalia nini kifanyike ikiwemo kupitia upya mfumo mzima wa elimu.

Elimu......Elimu......Elimu.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee hili tatizo ni kubwa na pana zaidi ya linavyo shughulikiwa, sio darasa la kwanza na kidato cha kwanza pekee.

Tatizo hili limeenda hadi kwa wanaoingia kidato cha tano na pia vyuo, na hata wanaohitimu vyuo nao hatuna pa kuwapeleka (hakuna ajira/kujiajiri).

Serikali inapika bomu na wananchi wajinga wanafurahia na 'wanaunga juhudi', huu umekuwa mtaji wa kisiasa wa 'watu fulani'.
 
Back
Top Bottom