Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

Sio sawa mkenya apone na Mtanzania aumie. Sio vizuri Kenya kuifanyia umafia Tanzania ili maslahi ya Tanzania yaharibike. Kwa nini Kenya wanataka kuharibu maslahi ya Tanzania kwa kupigia chapuo Ngorongoro kufa?
Ni chuki zako tu za kutokuwa na maarifa.....una asili ya uchawi....hayo unayosikia ni makaburu yaliyoko kenya toka kitambo.....usivyo na akili una mlenga ndg yako...ambaye nae ametegwa bila kujua... Huyo Baba nyerere amemkomboa kwa gharama kubwa!! Kupitia "front line state" hakika tutaanza na wewe!!
Inaonekana hata hujui pan Africanism ni nini!...OAU....AU. Ni zero...ndo maana unasumbua..wenzako wkt wako darasani wewe ulikuwa unaenda kuogelea ndo mnatusumbua humu. Haya ni ya drs la tatu huko......km unakumbua kale ka wimbo ka mchaka mchaka....Baba nyrr nipe bunduki mzinga nikakombo......... Unge nyamaza kimyaaa....
 
 
kwa iyo unaona sawa Shughuli za kibinadamu kuzidi Ngorongoro na wanyama kuhamia Kenya kuondoka Tanzania?
Ondoeni Wawindaji na Mahoteli yanayoota kila kukicha, ondoeni watu ambao sio Wamasai Ngorongoro, baada ya hapo hizo shida zote hamtazisikia.
 
Wanyama wanaleta watalii wanaoleta fedha nyingi sana zinazonunua madawa hospitali, kujenga barabara na kulipa mishahara ya watanzania wenzangu
Unique feature ya Ngorongoro ni mchanganyiko wa Wanyapori na Binadamu. Na Ndio maana likaitwa eneo la Hifadhi. Wamasai wamekuwa Wahifadhi wa Wanyamapori KWA sababu wao HAWAWINDI WALA KUUWA WANYAMAPORI, it has been so for decades, ila KWA sasa kuna "Wamasai Waarabu na Wazungu" Ndio wanaowinda na kufukuza Wanyama kutokana na uwindaji wao na Mahoteli yao huko porini. Masai ni sehemu ya Utalii KWA Ngorongoro. Nao wanachangia pato la Taifa KWA Watalii kutoka maelfu ya Kilomita kuja kuona Binadamu anaishi na wanyamapori, lakini pia alietunza utamaduni wake KWA karne na karne.

#AcheniHila
 
Haya yatakuwa mapandikizi ya Kenya yanayotaka Ngorongoro ife ili yakamate soko la utalii Afrika Mashariki
Ngorongoro imepakana na Manyara na Serengeti. Ili ife, inabidi uziue zote hizi pamoja na Masai Mara ya Kenya nayo itakufa. So, hamna Hoja yoyote ya kuwaondoa watu Ngorongoro. Mkitaka waondoeni Waarabu na Mahoteli yote Ngorongoro.
 
Huna Hoja yoyote ya kuwaondoa. Zaidi sana nauona ushabiki maandazi tu kwako. Wameishi na Wanyama KWA milenia zaidi ya 7, leo Ndio unashangaa wao kuishi na wanyamapori? Hiyo ni Akili kweli? Huoni hiyo ndiyo uniqueness yao na hivyo wanapaswa kulindwa?

Ngorongoro ni ya wanangorongoro. Na KWA nini hii Hoja inakuja sasa? Kwamba Ndio Wamasai wameingia sasa hivi Ngorongoro?

Ondoeni kila mtu Ngorongoro wabaki Wanyama tu, asiwepo Mwarabu mwindaji wala mwenye Hoteli ndani ya Hifadhi.
 
Unajua milenia 1 ni miaka mingapi? Au unaropoka tu hapa?
 
Ngorongoro imepakana na Manyara na Serengeti. Ili ife, inabidi uziue zote hizi pamoja na Masai Mara ya Kenya nayo itakufa. So, hamna Hoja yoyote ya kuwaondoa watu Ngorongoro. Mkitaka waondoeni Waarabu na Mahoteli yote Ngorongoro.
Kuna mwarabu gani Ngorongoro? Nani kakwambia Wamasai tu ndo wanatolewa Ngorongoro? Hadi mamlaka wameamrishwa kuondoa ofisi zao ndani ya hifadhi
 
Ondoeni Wawindaji na Mahoteli yanayoota kila kukicha, ondoeni watu ambao sio Wamasai Ngorongoro, baada ya hapo hizo shida zote hamtazisikia.
Hakuna kinachobaki Ngorongoro zaidi ya wanyama kwa ajiri ya hifadhi tu
 
Ongera kwa kujaza server
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…