Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

Kwann iwe sasa? Masai wapo miaka na miaka why now? Hizo effects za uwepo wao ulizoainisha hapa nadhan mpaka sasa ngorongoro ingekua imebaki na ng' ombe za Masai pekee!!
 
Mleta mada umeshiba maharage.....watalii africa siyo endelevu.....hao wanao kuja kuja humu wanakuja kuangalia mali zao za kale walixoacha babu yao mkoloni.....sasa wanataka kuchimba kwa kisingizio cha kuondoa masai.
Sawa wanyama wataenda kenya mwafrica mwenzako.jirani yako mbantu mweusi tii akila hizo hela za utalii unaumia nini?...mahali ambapo ukienda mnafanana rangi na mjisura huo!!!
Unafurahia muarabu akibeba twiga kunako midege kupeleka uarabuni??? Unafurahia km juha ila mweusi akikaa asiyekula una muona nuksi Km hujarogwa sijui....
 
Huna akili wewe! Hela anazolipa mtalii akiingia Kenya zitanunua madawa kwa ajiri yako na bibi yako mliopo hapa Tanzania?
 
Umeishia darasa la ngapi?
 
Wanatembeza hawajaweka vibanda. Ilibaki kidogo wangejenga vibanda katikati ya barabara. Kuna issues zinataka majibu baada ya kufikiria. Sio majibu rahisi yenye kutaka umaarufu wa kisiasa.
Tanzania ina wasomi...ila sio wenye hizo Phd. Na ile nyingine ambayo nayo sijui kama ilikuwa Phd
 
Wamachinga hawajawahi kujenga vibanda bwashee!
 
Kuna jambo haliko sawa ktk hili suala,na kuna siku litakuwa wazi
Simple and Clear- Kenya anataka kuua Ngorongoro kwa kufund watu watetee wamasai waendelee kuwepo Ngorongoro ili baadae Ngorongoro ife , ifuatie Serengeti na watalii wote waende Masai Mara ambapo Wanyama wote watakuwa wamehamia huko
 
Mbona watu wanaongezeka kila mahali? Je wote watahamishiwa wapi?
Isije kuwa Norongoro imeshauzwa halafu sis tunapiga chapuo tu!
 
Simple and Clear- Kenya anataka kuua Ngorongoro kwa kufund watu watetee wamasai waendelee kuwepo Ngorongoro ili baadae Ngorongoro ife , ifuatie Serengeti na watalii wote waende Masai Mara ambapo Wanyama wote watakuwa wamehamia huko
Pamoja na hayo Tz pia Kuna watu wanamaslahi fulani SI bure
 
Ukiniambia Wazanzibari wote wahamishwe Zanzibar ili kisiwa chote kiwe eneo la utalii, nitakubaliana na hoja yako.
 
kama kisiwa cha Zanzibar kingekuwa na wanyama ambao wangekuwa wanatoweka kulingana na kuongezeka kwa shughuli za binadamu basi tungesema binadamu wahamishwe

Ukiniambia Wazanzibari wote wahamishwe Zanzibar ili kisiwa chote kiwe eneo la utalii, nitakubaliana na hoja yako.
 
Mwenye maslahi ni Kenya anayetaka Ngorongoro ife ili watalii wasije Tanzania wahamie Kenya ambako wanyama wanakimbilia kutokana na kuongezeka kwa shughuli za binadamu Ngorongoro. Ngorongoro ikifa mapato yote ya utalii yanahamia Kenya
Pamoja na hayo Tz pia Kuna watu wanamaslahi fulani SI bure
 
Bahati mbaya hutaki kulisha chakula ubongo wako kujua kabila gani liliwahi kuamishwa toka hifadhini kupelekwa eneo lingine.

Ila kwa sababu tecknolojia imekuwa kwa kasi kwenye umri wenu ndiposa mnaona maasai wanaonewa although kuna Watanzania wengine huko nyuma waliwahi kuamishwa na HAKUKUWEPO kelele kama hizi.

Hata hao unaopigia kelele hawakuwepo pale bali walihamishiwa pale, don't ask you're self but give brain work!.
 

Wenzako wengine wanasema wamasai waondoke sababu wanaliwa na simba, we unasema simba wanakimbia,nadhani mnge jiorganizes kwanza ili muwe na kauli moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…