Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Habari ya asubuhi majirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefufuka baada ya kuingia mitini kwa aibuSiku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu ( Kiushirikina ) na hata tarehe yenyewe ya Pili / Mbili nayo mbaya sana Kwetu.
Kafara Kubwa na la Hatari linatakiwa Kufanyika vinginevyo tujiandae Kulia, Kuumia na Kuchekwa.
Nimemaliza.
Ulichiza nyanda wane.Na majirani wamefanya vizuri basi mimacho yote iko kwetu yote ili tukichemsha waanze gubu
Mkuu wakati mwingine acha ushabiki basi,Simba siyo mbovu kiasi kwamba ni mbovu kuliko GalaxyLabda wabadilike, ila kwa mechi nilizoziangalia yaani ndio timu mbovu kuliko zote. Timu hata kupiga pasi tano hawawezi. Ni timu mbovu haswa
Ulisoma ukaelewa au unadandia treni ilimradi tu ugongwe? Niliye m- quote amesema Galaxy ni wabovu na mimi nikakazia kuwa ni wabovu haswa hata kufikisha pasi tano hawawezi labda wawe wamebadilika. Aisee mbona mnajistukia kiasi hiko hata kama anazungumziwa mwingine mnajihisi ni nyie.Mkuu wakati mwingine acha ushabiki basi,Simba siyo mbovu kiasi kwamba ni mbovu kuliko Galaxy
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu (Kiushirikina) na hata tarehe yenyewe ya Pili/Mbili nayo mbaya sana kwetu.
Kafara kubwa na la hatari linatakiwa kufanyika vinginevyo tujiandae kulia, kuumia na kuchekwa.
Nimemaliza.
mimi japo ni yanga damdam lakini ntaishangilia simba kwani natamani simba na yanga ziingie robo fainali,ni faida kubwa nchiSiku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu (Kiushirikina) na hata tarehe yenyewe ya Pili/Mbili nayo mbaya sana kwetu.
Kafara kubwa na la hatari linatakiwa kufanyika vinginevyo tujiandae kulia, kuumia na kuchekwa.
Nimemaliza.
HahaaaaaNa majirani wamefanya vizuri basi mimacho yote iko kwetu yote ili tukichemsha waanze gubu
Ni Timu yenye Majuha ( Morons ) Wengi wakiongozwa nawe.Kwa ufupi tu, unajua nini kuhusu Yanga?
Mimi ni yanga lkn comment yako ina sauti ya unyenyekevu😄😅Mkuu wakati mwingine acha ushabiki basi,Simba siyo mbovu kiasi kwamba ni mbovu kuliko Galaxy
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya profesa wa matusi. Una tusi gani new model unipige nalo?Ni Timu yenye Majuha ( Morons ) Wengi wakiongozwa nawe.
Kafara kubwa humaanisha nini kinajimuSiku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu (Kiushirikina) na hata tarehe yenyewe ya Pili/Mbili nayo mbaya sana kwetu.
Kafara kubwa na la hatari linatakiwa kufanyika vinginevyo tujiandae kulia, kuumia na kuchekwa.
Nimemaliza.
Hahahahaaa yani we jamaa ni dah!Siku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu (Kiushirikina) na hata tarehe yenyewe ya Pili/Mbili nayo mbaya sana kwetu.
Kafara kubwa na la hatari linatakiwa kufanyika vinginevyo tujiandae kulia, kuumia na kuchekwa.
Nimemaliza.
Wachawi FCSiku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu (Kiushirikina) na hata tarehe yenyewe ya Pili/Mbili nayo mbaya sana kwetu.
Kafara kubwa na la hatari linatakiwa kufanyika vinginevyo tujiandae kulia, kuumia na kuchekwa.
Nimemaliza.