Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Feb 28, 2024 #41 "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Nakuunga mkono hoja
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Feb 28, 2024 #42 Picha la kutisha kutoka kwa Jwaneng Galaxy Attachments FB_IMG_17091298458398778.jpg 512.5 KB · Views: 1
S Somi JF-Expert Member Joined Feb 7, 2009 Posts 3,921 Reaction score 4,858 Feb 28, 2024 #43 Tate Mkuu said: Acha kutisha watu wewe. Ile Jwanang Galaxy ni timu mbovu sana kwa sasa. Yaani siku hiyo simba watakuwa wanapiga bomu mochwari. Ile timu hata ikicheza na Mtibwa sugar, wanaweza kuondoka na ushindi wa kishindo. Click to expand... Ni kweli jamaa wanakimbiakimbia bila malengo yoyote mechi 5 wana goli 1 tu , kmc au prison atamfunga galaxy Hata goli 4.
Tate Mkuu said: Acha kutisha watu wewe. Ile Jwanang Galaxy ni timu mbovu sana kwa sasa. Yaani siku hiyo simba watakuwa wanapiga bomu mochwari. Ile timu hata ikicheza na Mtibwa sugar, wanaweza kuondoka na ushindi wa kishindo. Click to expand... Ni kweli jamaa wanakimbiakimbia bila malengo yoyote mechi 5 wana goli 1 tu , kmc au prison atamfunga galaxy Hata goli 4.