Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Kipindi cha ugonjwa hatari wa corona ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo.

Kweli Mungu wetu hakuangalia dhambi zetu bali alimtazama Rais wetu kwa namna alivyojinyekeza mbele zake na kuwaongoza watu 60 million kuelekea kwa Mungu. Kiongozi wa nchi kama Rais na kama mfalme,kulitaja jina la Mungu kwa unyenyekevu mbele ya wanadamu na marais wa nchi sijambo jepesi hata kidogo. Mimi na wewe tusingeweza na hata sasa hatuwezi.

Baada tu ya kutoangaza kuwa Mungu atatuponya na Corona (covid 19) Rais wetu alionekana mtu asiyekuwa na ufahamu .tuliona Kila thihaka kutoka kwa wapinzani na mataifa .

Sasa ikiwa Rais wetu Mungu alisikia kilio chake na cha watu wake Utaachaje kumchagua halafu umchague mtu asiyemwamnini Mungu tena watu ambao walisubili tuangamie ndipo Waone sababu ya kumsema Rais kuwa hafai?( kumbuka kipindi cha bunge la bajeti namna wapinzani walivyotoka bungeni eti wanajiweka karatini ili wenzao waliyokataa kutoka bungeni waangamie!!!).

Wakuu wa dini Mliangalie hili.sijasema mhubiri siasa lakini Mungu awatumie kwa kadri mtakavyoona inafaa. Kumbukeni makanisa na misikiti haikufungwa kwa ajiri ya utukufu wa Mungu wenu mnayemwabudu usiku na mchana .je mtamchagua nani?

Aliyesema Mungu hawezi au aliyesema Mungu anaweza?Anayeshabikia ushoga au anayechukia ushoga? Sikilizo rohoni kunasemaje kama sivyo Tumia akili kufikiri.usipige kura kwa kushawishiwa na hadithi zisizokuwa na maana.
 
Israel [emoji1134] taifa teule la mungu Leo siku ya pili wako kwenye lockdown

Maka na madina walizuia Mpaka watu kwenda kuhiji kisa korona

Majirani zetu wote wana cases mpya kila siku za Korona

Ni mtu wa ajabu pekee anaweza kusema Tanzania hakuna Korona
 
SIASA ZENU UCHWARA NA SISI AMBAO HATUNA CHAMA TUSIPOPIGA KURA INAKUAJE
 
Usitutishe . Unajibanza kwenye dini we una dini gani?? Twambie walioteka na kuua watu awamu hii ya tano.
Awamu zingine hawakutekwa?nani alimuua Alfonce Mawazo?nani alimteka Ulimboka? Una uhakika gani kuwa walikufa au kupotea walitekwa au kuuawa na awamu ya Tano?
 
Kipindi cha ugonjwa Hatari wa cororo ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo....

Hivi una akili kweli? Mbona wajinga wanazidi kuongezeka sana
 
Back
Top Bottom