citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
NapitaKwani Waziri Mkuu majukumu yamemshinda?
Huyu mama kutokujiamini kwake kunakopelekea kufanya kazi kwa kubahatisha, ujinga, na kuwaza 2025 ndio anaenda kutengeneza migongano ya majukumu kwa wasaidizi wake.
Matokeo yake wataanza kununiana kwenye korido na yeye ndie atakuwa chanzo cha kwanza kuikwamisha serikali yake kufikia malengo waliyojiwekea, halafu aanze kulalamika wasioendana na kasi yake atawaondoa, kumbe yeye ndie asiejua anakoelekea.
Namuona yuko vizuri kwenye kukopa tu.
Mkuu mwambie huyo 'Mswahili Mpuuzi' kuwa GENTAMYCINE sijawahi kuwa CHADEMA na haitotokea kuwa huko au Chama Kingine chochote cha Upinzani ( japo napenda uwepo Wao Kidemokrasia na ninaviheshimu pia ) lakini nitaendelea kuwa Shabiki Tukuka wa CCM isipokuwa nina bahati mbaya moja Kubwa sana Maishani ambayo pia ni Asili yangu niliyoumbwa nayo ( inayowakera kama siyo Kuwachukiza Wapumbavu wengi nchini na hapa Jamvini ) na Mwenyezi Mungu ya kutokuwa Mnafiki, Muoga, Muongo, Kujiamini, Kuiamini IQ yangu, kutokukata Tamaa Maishani na kutopenda Kujipendekeza au Kujikomba kwa Mtu ( Maarufu / Kiongozi ) yoyote na kuwa Msema Ukweli daima hata kama nitapewa Hongo ( Rushwa ) au kutishiwa Kuuawa ( Kuuwawa )Genta siyo Bavicha Ila hajawahi kumwacha salama mkosefu yeyote. Hata Magu Kwa Genta alikula za USO.
Mimi sina Akili ila nakuomba tu uniambie ni lini tokea Uzaliwe hadi Sasa Unazeeka hivyo ulishawahi kuwa na Akili?Naskitika kukwambia huna akili. Huyu huyu kabudi aliyemuita jpm mungu ana akadeclare kwamba ben saanane was killed!! You might be insane
Baada ya kuona amefanya mabadiliko kwa jazba/Hasira na kuona reactions ya watu sasa anajaribu ku appease/ Kufurahisha watu. Ila tayari tumeona na kujua ni unafiki tu. Mara Photo session na Speaker
Kwahiyo unamaanisha aniue na Mimi au?Mama akitaka afanikiwe aanze kuteka na kuua wanaomkosoa kama alivyofanya mtangulizi wake aliyetwaliwa.
Aanze na wale vimbelembele, wadakwe wabambikiwe kesi huku na kule, akiona mtu kakosea ampige vijembe vya kutosha kisha ampoteze au amfukuze hadharani na kumweka house Arrest ikibidi.
Huu uhuru wa kumkosoa utampotezea focus. Uhuru ukipitiliza utamfanya ashindwe kabisa kutekeleza majukumu yake kama mfalme wa taifa.
Hata ningekuwa mimi, kwa aina yako ya ukosoaji na unayemkosoa hatari lazima iwepo.Kwahiyo unamaanisha aniue na Mimi au?
Tatitizo kubwa la huyu mama ni washauri wake waliyo mzunguka ... hi aina ya watu wa ovyo, sanaSiku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.
Chanzo: Habari Leo Online
Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.
Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?
Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.
Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.
Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.
Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.
Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Ukweli sasa mama ndiyo anademka!Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.
Chanzo: Habari Leo Online
Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.
Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?
Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.
Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.
Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.
Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.
Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Hii movie inachanganya. Ngoja tungoje itaishia wapi!Dira ya hii nchi imepotea kabisa,,,hakuna ajenda inayoeleweka..
Mama hio kufurahisha watu nadhani anaupiga mwingi sana,,,na anawafurahisha kweli kweli.....
Kwani Waziri Mkuu majukumu yamemshinda?
Huyu mama kutokujiamini kwake kunakopelekea kufanya kazi kwa kubahatisha, ujinga, na kuwaza 2025 ndio anaenda kutengeneza migongano ya majukumu kwa wasaidizi wake.
Matokeo yake wataanza kununiana kwenye korido na yeye ndie atakuwa chanzo cha kwanza kuikwamisha serikali yake kufikia malengo waliyojiwekea, halafu aanze kulalamika wasioendana na kasi yake atawaondoa, kumbe yeye ndie asiejua anakoelekea.
Namuona yuko vizuri kwenye kukopa tu.
Katika kiapo hupigwa vita ukanda, udini na Ukabila, lakini ajabu ni kuwa Dodoma imetoa mawaziri wa nne, pwani watano Tanga watatu hali ya kuwa mikoa mingine haina hata waziri mmoja huu ni mfano mbaya sana si wakuigwa, Rais anamfurahisha Lukuvi na kabudi kwa kodi zetu upande wa pili anasema Uraisi ni TaasisiSiku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.
Chanzo: Habari Leo Online
Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.
Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?
Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.
Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.
Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.
Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.
Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Unaenda mbali sana mbona Malima yuko Tanga au Dr Mahenge ni mkuu wa mkoa, ajabu ni nini hapo?Yes Mhe. Lukuvi na Profesa Kabudi wamefanya kazi nzuri sana na hadi Rais kawasifia. Tatizo ni nini? Kuondolewa uwaziri na kuvutwa Ikulu? Nani ana hatimiliki ya uwaziri? Mzee Kawawa aliwahi kuongoza nchi akishika cheo cha PM kwa muda lakini aliwahi kuwa Waziri wa kawaida kabisa, ingekuwa sasa tungesemaje? Mzee Msuya aliwahi kuwa PM mara akatupwa huku na kule na hadi akakaa benchi. Tutambue cheo ni dhamana unaweza wewe kuwa Waziri leo kesho yule.
Kosa la sasa hili hatulizingatii. Ndiyo maana mtu akiteuliwa tunasema 'Kaula!' Huwezi kuula ktk nchi yenye matatizo makubwa kama hii. Unapaswa kuambiwa abebeshwa mizigo wa Wizara. Kwa hiyo sioni tatizo kabisa la Mhe. Rais kuwatumia Profesa Kabudi na Lukuvi katika kazi maalum za kujenga Taifa.ππ
Asante sana! Tuna tatizo kubwa sana.ππUnaenda mbali sana mbona Malima yuko Tanga au Dr Mahenge ni mkuu wa mkoa, ajabu ni nini hapo?
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.
Chanzo: Habari Leo Online
Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.
Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?
Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.
Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.
Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.
Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.
Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.