Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

Usipovuta bangi huwa una madini hatari jirani[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1787]
 
Kuna Dogo mmoja alitoka kijijin kwao huko msoma kaja mjin kaanzisha biashara ya mpesa ,tgopesa Mambo ya uwakala kwa ujumla.
Kakomaa biashara ikawa vizuri akavuta mke ohhh msala uka anzia apo biashara anafanya ila matumizi Ni mengi mpka akawa anajikuta anagusa mtaji..! kule kijjn alikua kaachiwa ng'ombe kadhaa za urithi ..Mchezo ukawa Ni Mambo yakiyumba kidogo anapiga sim wanauza Ng'ombe ana boost mtaji.
Mpka Sasa Zizi kalimaliza na mda si mrefu tunamtafutia kirikuu arudi kwao kijijin Mimi nimemshauri kirikuu sio nzuri atafute hata pick up au guta kwa usafiri wa uhakika.
 
Hiyo ya kuponda ajira ni sizitaki mbichi hizi tu yaani ni kwa vile bongo ajira hazipo ila zingekuwepo hata hao waliojiajiri wangezikimbilia! Kuna watu wengi tu wana miaka 30 wameajiriwa wanakunja salary zaidi ya 3M monthly jiulize je ni vijana wangapi wa huo umri waliojiajiri wanakunja profit zaidi ya 3M monthly?
 
hii inahusu na wale waoajriwa kiwandani amabapo unalipwa elfu nane kwa siku halafu unalipwa kwa wiki au unazungumzia wa maofisini na kompyuta na kiyoyozi???
 
Mbona hata ukiwa mfanyabiashara unakuwa mtumwa kwa wateja wako au utumwa ni kwa boss tu? Siku hizi kila sector ina utumwa hata ndoa nayo ina utumwa ila watu wanaingia kila siku!
 
Aya mambo ya kujiajiri yanasababisha watu waroge sana Yani.
 
Omba Mungu usipate majanga, biashara ni bora kuliko kuajiriwa. Mtu wa kawaida muuza chips, kama ana nidhamu ya pesa anamzidi mwajiriwa anaelipwa 1000000 kwa mwezi.
Ukitaka kujua Mambo kwa ground Ni tofauti huyo muuza chips Mpe Option mbili
1 - Mwambie Kuna kazi ya kulipwa mil moja kwa mwezi je Yuko tyari au
2 - aedelee kuuza chips

Uone atachagua kwenda wapi
....mind you ukilipwa mshahara wa mil moja kwa mwezi uwe unajua Apo Kati Kati Kuna hela nyingine ya sintofaham utaifaid Sana tu
 
Inategemea na ajira, usiwekee uhalali pesa zaido ya mshahara, nilishafanya ajira ambayo hamna hata senti tano nje na mshahara
 

mna mahesabu makali sana,ila field pana waprove wrong sana.
 
Inategemea na ajira, usiwekee uhalali pesa zaido ya mshahara, nilishafanya ajira ambayo hamna hata senti tano nje na mshahara
Kazi gani hyo mkuu Kama ulikua unalipwa laki Tisa kushuka chini Apo Ni sawa .
Mshahara wa Kuanzia mil moja Mara nyingi Kuna neema katkat.
 
Muuza Chips anaweza kubali, ila haimaniishi kuajiriwa ndio kitu bora zaid.

Ila tufanye hivi, tutakutana uzeeni, sio ndio final huko.

Wenye pension, wanapata pension inaisha ndani ya miaka miwili, depression anakufa au huyu mzee anamzunguko wake wa investments zake ametulia hme
 
Mzee kufa Ni halali yake mda wake unakua umeisha.
Ndo maana kifo kipo Ni kwa ajili yetu mkuu.
 
fanya biashara kijana,usipumbazwe na mshahara wa kuajiliwa, business ndo kila kitu kiongozi.fikilia ukistaafu wanao hawatarithi kazi yako,hawana Cha kuendeleza kutoka kwako,lakini mfanya biashara akizeeka au akifa ,wanae watarithi biashara ya mzee wao na kuendeleza pale alipoishia. Muajiliwa akifa au akistaafu kazi, mfano alikuwa na Masters au PhD watt hawato rithi hiyo masters au PhD yake.biashara huwafanya watu waishi maisha marefu,trust me!!
 
Acha nipate ilmu
kama hamna cha kuandika muwe mnasoma na kupita bila kukomenti, mnaudhi sana kwa vijijino vifupi visivyo na maana ya kujifunza na mnaziba nafasi kwa kuongeza idadi ya komenti zisizo na maana
 
Kwani kazini huwezi kufukuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…