Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

Acha masihara kaka,6M ni hela ya kawaida sana kwenye biz,usiikuze kiasi hicho man,fungua macho utafute fursa utaziona zinazoweza kulipa kiasi hicho
6 M sio pesa ya kawaida mkuu, ni ndogo kwa kuongelea hapa jf ambako wengi wanaandikaga wanakaa masaki

Watu kibao waningia dukani saa 12 wanatoka saa nne faida ni elf 30.

Hao wazee wa 6m wanagesabika na wengi wao walikuwa na mitaji aidha kutoka kwenye mishahara, wazazi, n.k.

Hata robert Kayosaki alipata mtaji wake kutoka kwenye mshahara, Kina biil gates na Mark zuck wazazi wao walikuwa wananuka pesa
 
6 M sio pesa ya kawaida mkuu, ila kwa kuongelea hapa jf ni ya kawaida.

Watu kibao waningia dukani saa 12 wanatoka saa nne faida ni elf 30.

Hao wazee wa 6m wanagesabika na wengi wao walikuwa na mitaji aidha kutoka kwenye mishahara, wazazi, n.k.

Hata robert Kayosaki alipata mtaji wake kutoka kwenye mshahara, Kina biil gates na Mark zuck wazazi wao walikuwa wananuka pesa
Mimi naongelea biashara kaka siyo duka,
Kuna mtu hapo juu kasema inawezekana hata maana ya biashara wengi wetu hatujui,na wewe panua akili na ujielimishe zaidi,biashara siyo duka pekee
 
6 M sio pesa ya kawaida mkuu, ila kwa kuongelea hapa jf ni ya kawaida.

Watu kibao waningia dukani saa 12 wanatoka saa nne faida ni elf 30.

Hao wazee wa 6m wanagesabika na wengi wao walikuwa na mitaji aidha kutoka kwenye mishahara, wazazi, n.k.

Hata robert Kayosaki alipata mtaji wake kutoka kwenye mshahara, Kina biil gates na Mark zuck wazazi wao walikuwa wananuka pesa
Kwani hujui JF wanaongea humu kesho hao hao zikibuma wnakuja na id za kuomba ajira eti 6mil ni ndogo wanaumwa huyu nikki wa pili asingeenda kweny ajira
 
6 M sio pesa ya kawaida mkuu, ila kwa kuongelea hapa jf ni ya kawaida.

Watu kibao waningia dukani saa 12 wanatoka saa nne faida ni elf 30.

Hao wazee wa 6m wanagesabika na wengi wao walikuwa na mitaji aidha kutoka kwenye mishahara, wazazi, n.k.

Hata robert Kayosaki alipata mtaji wake kutoka kwenye mshahara, Kina biil gates na Mark zuck wazazi wao walikuwa wananuka pesa
Watu wana utani kweli
 
Mimi naongelea biashara kaka siyo duka,
Kuna mtu hapo juu kasema inawezekana hata maana ya biashara wengi wetu hatujui,na wewe panua akili na ujielimishe zaidi,biashara siyo duka pekee
Biashara tu ya kuingiza 3 m as a profit baada ya kutoa gharama zote sio kitoto wapo kariakoo kibao miaka kibao wanaishia kuvaa nguo tu kali ila maendeleo bado sana miaka minne mtu hana nyumba biashara ngumu sio kitoto unajinyima time zaidi kuna jmaa wanafuatilia mizigo yao bandari mpaka usiku hawalali roho juu

Hatuongelei nduma ila real business inahitaji muda sana na biashara za mtaji mdogo kukua ni changamoto sana fanya business kitu hujui 90% ya motivational speakers haswa wa bongo sio wafanya biashara ila ni wakariri wa quotes na kusoma vitabu ishu inawapa uwakika kuishi ni zile sitting allowance per head wanaokuja kuhudhuria makongamano yao
 
Watu wana utani kweli
Watu wa humu ndani hujawazoea kwani 🤣🤣🤣🤣ndani ya ajira watu wanapata fursa kibao especially position za juu jiulize hao wakina mbowe si wafanya business wakubwa wanashika parefu ila wanataka ubunge na urais ili mambo yawe mazuri zaidi
 
Hizi story ukiwaambia watu waliopo Vodacom,Tigo,TCC,mgodini,Bandari,nmb,nssf,wataona una kichaa!!kama kuwa mtumwa ndio unapata overtime zaidi ya milioni mbili kwa wiki!basi huo utumwa mzuri.
Sasa hizo sehemu ulizotaja Kama umewekwa kimkakati sawa lakini Kama inategemea boss ataamkaje bado plan B ni muhimu sana.

Sent from my itel A16 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kujiajiri na kujiajiri kubangaiza maisha, means kujiajiri definition au maana yake sio kuuza duka tu.
Na watu wengi ndipo wanapojichanganya kwenye hiyo definition wakisikia neno "kujiajiri" ikiwemo wewe.

Mtu anayeuza duka anabangaiza maisha lakini bado amejiajiri.
Umeandika vizuri sana mkuu. Asante sana!
 
Biashara zimewanufaisha wengi ila kama unawaangalia watu walio jiajiri kwenye maduka ya rejareja mtaani hapo hata mm huwa nahisi zile biashara zina shida fulani ni wachache sana wanao toboa kimaisha wengi unaweza ukaanza shule ya msingi unamuona had unamaliza hali bado ni ileile maendeleo ya dukan kwake labda alete kabati jipya la kupangia bidhaa na kubadili muonekano wa duka tu.

Ila ukiingia town ukakutana na jamaa wenye maduka ya bidhaa za jumla au nguo , furniture & spare parts wale huwa wanamaendeleo siyo mchezo mchezo ndani ya miaka mi5 anapiga gape kubwa sana la maendeleo uwekezaji wake kwenye biashara unakua n mkubwa hata wahudumu pale dukani wanakua wengi sana.

Biashara ni nzuri sana hasa ukiiona fursa na ukawa na mtaji shida n kuwa sisi watt wa maskin mtaji hatuna ndo maana macho yetu tunaangalia upande wa kuajiriwa ili angalau tuweze kubadilisha maisha kutoka kwenye hali mbaya had kwenye hafadhali kidogo, na muda mwngne kuifanya ajira kama sehem ya kutafutia mtaji, Sasa mm sina mtaji alafu uniambie nijiajiri hapo lazma itakua n ngumu kukuelewa.
 
Biashara zimewanufaisha wengi ila kama unawaangalia watu walio jiajiri kwenye maduka ya rejareja mtaani hapo hata mm huwa nahisi zile biashara zina shida fulani ni wachache sana wanao toboa kimaisha wengi unaweza ukaanza shule ya msingi unamuona had unamaliza hali bado ni ileile maendeleo ya dukan kwake labda alete kabati jipya la kupangia bidhaa na kubadili muonekano wa duka tu.
Wabongo wengi ni Self employed, hawa wanauza maduka wenyewe, wanafanya shughuli zote wenyewe, hapo mtu anageuka tayari kuwa mtumwa,

Hii ni tofauti na Business owner, hawa wanaajiri wengine kuwafanyia kazi, kama ni boda boda atatafta kijana, kama ni duka atatafuta wauzaji, n.k hawa ndio matajiri tunaowaona sasa,

Wengi hawajui kutofautisha hivyo vitu viwili
 
cc: jokate, nikiwapili

SIZITAKI MBICHI HIZI 😂 😂

Mtu anaamka kila siku miaka nenda rudi anafungua duka alafajiri mpaka usiku na faida yenyewe haizidi hata elf 30 kwa siku, Ni wapi anapata

Biashara ni nzuri ikiwa kuna system ya kupigana jeki na kubebana, hapa bila kificho tunajionea kwa waarabu, wahindi, wakinga, wapemba na wachaga, hawa huwa wana mitandao yao ya vikundi vya kubebana, wanajenga system za kusaidiana, wanachangiana, mzazi akifa kuna mtoto kaandaliwa tayari , n.k unakuta mtu akitaka kusafirisha mzigo kuna mtu wao ana kampuni ya kusafirisha, akitaka mtaji kuna mtu wao anaweza
Nadhani kila mtu afanye anachoona ni sawa, wengine tumejiajiri huwezi kuniambia hayo unayosema nikakuelewa na nip private sector mwaka wa kumi na ushee, we endelea na ulichoona kinakufaa kila mtu na uwezo wake wa akili kwenye haya maisha.
 
cc: jokate, nikiwapili

SIZITAKI MBICHI HIZI [emoji23] [emoji23]

Mtu anaamka kila siku miaka nenda rudi anafungua duka alafajiri mpaka usiku na faida yenyewe haizidi hata elf 30 kwa siku, Ni wapi anapata confidence ya kusema ajira ni utumwa kwa mwenzake anaeiingiza milioni 2 kila mwezi, siku 150 za kupumzika kila mwaka, akiumwa bado anapata mshahara, anaingia kazini saa 2 anatoka saa 11 jioni, kuna posho, n.k, Ni wapi anatoa hii confidence.
Watu ambao ni wavivu , hupendelea mno kuajiriwa kuliko kujiari
 
Kuna Dogo mmoja alitoka kijijin kwao huko msoma kaja mjin kaanzisha biashara ya mpesa ,tgopesa Mambo ya uwakala kwa ujumla.
Kakomaa biashara ikawa vizuri akavuta mke ohhh msala uka anzia apo biashara anafanya ila matumizi Ni mengi mpka akawa anajikuta anagusa mtaji..! kule kijjn alikua kaachiwa ng'ombe kadhaa za urithi ..Mchezo ukawa Ni Mambo yakiyumba kidogo anapiga sim wanauza Ng'ombe ana boost mtaji.
Mpka Sasa Zizi kalimaliza na mda si mrefu tunamtafutia kirikuu arudi kwao kijijin Mimi nimemshauri kirikuu sio nzuri atafute hata pick up au guta kwa usafiri wa uhakika.
Dah aisee mkopeshe mtaji
 
Biashara zimewanufaisha wengi ila kama unawaangalia watu walio jiajiri kwenye maduka ya rejareja mtaani hapo hata mm huwa nahisi zile biashara zina shida fulani ni wachache sana wanao toboa kimaisha wengi unaweza ukaanza shule ya msingi unamuona had unamaliza hali bado ni ileile maendeleo ya dukan kwake labda alete kabati jipya la kupangia bidhaa na kubadili muonekano wa duka tu.
Hapo ukijitahidi sana utaanza kuwa machinga tu kubangaiza maisha!

Otherwise mtu anaona bora aajiriwe alipwe laki 7 kuliko kuteseka juani kuitafuta elfu 10 kila siku!
 
Back
Top Bottom