Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Mfano mwalimu anatakiwa alete uvumbuzi gani?Fanyeni vumbuzi au consultatations kwenye fani mlizosomea, mbona vijana wa ufundi veta wanaingiza kwenye kujiajiri straight,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mwalimu anatakiwa alete uvumbuzi gani?Fanyeni vumbuzi au consultatations kwenye fani mlizosomea, mbona vijana wa ufundi veta wanaingiza kwenye kujiajiri straight,
Mwalimu hawezi kuwa msomi, hapa tunaongelea clueless graduatesMfano mwalimu anatakiwa alete uvumbuzi gani?
Kwa sample ya huyo jamaa ako tu haitoshi ku generalize kuwa ma-enginer wote watashindwa kuwasha pistonMwalimu hawezi kuwa msomi, hapa tunaongelea clueless graduates
Kuna interview ipo Millard ayo jamaa ana kiwanda babati huko, jamaa aliamua kuwa train bodaboda wawe machine operators baada ya kuona graduates wanashindwa hata kuwasha mashine.. Nina jamaa yangu ana degree ya mechanical engeneering, hata piston hajui.
Iria hao darasa la saba ndio watunga sheria na wanaridhia mikataba ya kimataifaElimu ya watanzania ni mbovuu haina improvement kwa watoto wa taifa la keshoo
Hakuna mahala nimesema la saba ni bora kuliko garaduate, elimu yetu ina mapungufu Hilo ndo swala inatakiwa kufanyiwa kaziKwa sample ya huyo jamaa ako tu haitoshi ku generalize kuwa ma-enginer wote watashindwa kuwasha piston
Nnachotaka kusema ni kuwa elimu yetu ni kweli ina mapungufu ila sio sawa kufananisha darasa la saba na graduates wanachofanya wabunge ni siasa wapate accolades
Inafika mahala mtu analaumu eti wasomi wameshindwa kujiajiri pamoja na usomi wao hizi ni siasa tu ili mtu aweze kujiajiri kigezo sio elimu tu kuna factors nyingine nyingi za mtu kujiajiri
Lakini pia haiondoi umuhimu wa elimu kuna sekta nyingine bila elimu hutoboi hata tu hiyo wanayoiponda hapo after all hao maprofesa huo uprofesa wanautolea wapi si wanaenda somea phd nchi za nje huko ambako mitaala ni ileile inatofautiana pedagogy tu
Huna akiliNaamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
Huna akiliNaamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
Huna akiliNaamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
Naamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
Wewe ni mpumbavu ,nimekuuliza unajua maana ya Venture capitalist ?Naamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
Wewe ni mjinga , una hata ideas ya ni vitu gani na resources au pesa kiasi gani zinakuwa injected mpaka hizo software zinaingizwa sokoni na kuwa consumed ?Naamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
Wewe ni mpumbavu ,unajua ni mambo gani yanahitajika kwenye huo uvumbuzi na research and development ?Fanyeni vumbuzi au consultatations kwenye fani mlizosomea, mbona vijana wa ufundi veta wanaingiza kwenye kujiajiri straight,
Umekaa hapo kwa shemeji yako jioni umevimbiwa kiporo cha viazi na kujambajamba ,unaandika upumbavu .Fanyeni vumbuzi au consultatations kwenye fani mlizosomea, mbona vijana wa ufundi veta wanaingiza kwenye kujiajiri straight,
Kama una akili na unaelewa English pitia hiyo documentary mwanzo mwisho , usiskip hata sekunde , halafu rudi hapa kuandika uharo wako unaondika humu .Hakuna mahala nimesema la saba ni bora kuliko garaduate, elimu yetu ina mapungufu Hilo ndo swala inatakiwa kufanyiwa kazi