Tusirudie tena Makosa Kwenye mchakato wa Katiba Mpya

M
Mchakato ni mchakato nafikiri utamalizika mwezi mmoja kabla Samia kumaliza miaka yake 10!
 
Zanzibar iulizwe aina ya Muungano wanoutaka ,Na
Tanganyika iulizwe aina ya Muungano wanaoutaka.
Kisha tuoanishe maoni yapande mbili katika Tume husika ili tupate Mchujo wa maoni ya Muundo wa Mungano.
Ikiwa Basi naiwe basi,Maana Zanzibar inahitaji More Sovereghnity ili iweze kuendesha Maisha ya Watu wake.
 
Kwa sharti hili WAZEE waliostaafu na wenye hekima pekeyao ndio watakaoshiriki kututengenezea Katiba kitu amnbacho kitakuwa na uhalisia na uadilifu. NADHANI WANASHERIA NA MAJAJI NI LAZIMA WAWE NDIO WASIMAMIZI WAKUU WAKIWEMO VIONGOZI WA DINI WENYE ELIMU ZAO, SIO AKINA JONGO WANAOLIA BUNGENI KUMLILIA NYERERE
 
Mmh, hilo litakuwa gumu, hata watu wa Catalonia wanataka uhuru, lakini huwezi kuusikia umoja wa Ulaya wanawaapia Spain wawaulize wakatalonia.

Uhai wa nchi huwa unalindwa kwa nguvu zote. Serikali moja ndio suluhisho.
 
Lakini na majaji pamoja na hao viongozi wa dini wasiwe na uwezekano wa kugombea nyazifa za kisiasa. Mfano Gwajima etc
 
Mmh, hilo litakuwa gumu, hata watu wa Catalonia wanataka uhuru, lakini huwezi kuusikia umoja wa Ulaya wanawaapia Spain wawaulize wakatalonia.

Uhai wa nchi huwa unalindwa kwa nguvu zote. Serikali moja ndio suluhisho.
Zanzibar haidai Uhuru kutoka Tanganyka, Zanzibar Tayari ilikuwa Nchi Huru na ni mwanachama wa UN ,
Hata kesho tukiamua Kwenda UN na kusema Tunakalia Kiti chetu hakuna wa kutuzuwia, Muungano ulkuwa ni wa Hiari tuu.
Ndo maana Tanganyika Wanabembeleza sana ili Tanzania Ibakie kama Ilivyo.
Kimsingi Zanzibar Inaona Inaakndamizwa ndani ya Unganiko hili, na ikibidi ,kama hakuna jinsi tunatagaza Kujitowa.
Hili lko wazi.
Maeneleo ya Zanzibar yamekwama kwa kikwazo cha Muungano.
Tunataka Kuchimba Mafuta na Gesi , Muungano umetuwekea Mguu,
Bahari yetu kuu hatuna Mmlaka ya kuitumia,
Hatuna Mmlaka ya kuita Makampuni ya Nje kuja kuwekeza Zanzibar bila ya kibali cha Muungano ambao umeshikiliwa na Tanganyika.
Tumechoka Mno.
Hat Mzee wa Uchumi wa Buluu amegonga Mwamba.
 

Shida ni CCM kutaka kuhodhi mchakato wa Katiba. Wataharibu Kama walivyofanya mchakato uliopita.
 

Mapendekezo mazuri mkuu, shida Viongozi wetu hawana macho ya mbele.
 

Rasimu ya Warioba na Sitta ni mbili tofauti haziwezi kujadiliwa kwa pamoja. Moja ni Federal na nyingine sui generis.
 
Na hili watu wengi wanalipuuza. Kwamba Zanzibar ilikuwa nchi huru yenye kiti umoja wa mataifa. Ndio maana nikashauri Kama tinataka katiba Bora tuanze na kura za maoni kuhusu muundo wa muungano.
 
M

Mchakato ni mchakato nafikiri utamalizika mwezi mmoja kabla Samia kumaliza miaka yake 10!
Haina tatizo iwapo makosa ya jk hayatajirudia. Tunataka katiba Bora sio mchakato wa kinafiki.
 
Hilo ndio suluhisho. Tusije tukaishia Kama muungank wa Yugoslavia. Tukubaliane Kama taifa muundo Bora wa muungano, tukishakubaliana Basi twende Kwenye kutengeneza katiba yenye mwelekeo wa muundo wa muungano.
 

Kweli kabisa
 
Umeongea pointi tupu. Hongera
 
Hizo pesa za kugharamia mchakato mpya wa kukusanya maoni na kuandaa Rasimu nani anatoa ?......ile ya Warioba ina tatizo gani mpaka itoswe ?.....
Haina tatizo ila baada ya magufuli hata wanaccm wanaamini Rasimu ya Warioba haitoshi. Maana tusije pata magufuli mwingine.
 
Haina tatizo ila baada ya magufuli hata wanaccm wanaamini Rasimu ya Warioba haitoshi. Maana tusije pata magufuli mwingine.
Aaah!..jamaa alikuwa na madhaifu yake kama binadamu wengine, kuendelea kumfanya reference ya ubaya kila sehemu sio sawa.......

kumbuka bado wanaweza kuja wengine msiowajua mnaweza kusema afadhali yeye tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…