Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaha ndio haitakiwi na sidhani kama deep state itarudia kosa lile.Aaah!..jamaa alikuwa na madhaifu yake kama binadamu wengine, kuendelea kumfanya reference ya ubaya kila sehemu sio sawa.......
kumbuka bado wanaweza kuja wengine msiowajua mnaweza kusema afadhali yeye tena.