johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.
Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi
Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi
Tusikuze mambo na kumpa faida shetani