Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.

Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
 
Ushageuza hili ni Swala la migombani

We bavicha bure Kabisa
Huwa sina ubia au uanachama na Chadema and for that matter Bavicha ila nawaunga mkono kwa 1,000,000,000,000% times kwa wanachokifanya. Mwenye akili yeyote atakuwa na Chadema kwa namna yoyte ile. Wezi, wahuni, kama nyinyi ndio mko CCM. Waungwana tuko Chadema.
 
Huwa sina ubia au uanachama na Chadema and for that matter Bavicha ila nawaunga mkono kwa 1,000,000,000,000% times kwa wanachokifanya. Mwenye akili yeyote atakuwa na Chadema kwa namna yoyte ile. Wezi, wahuni, kama nyinyi ndio mko CCM. Waungwana tuko Chadema.
Na Chadema iko CCM kwenye Maridhiano

Ndio sababu nakuambia Wewe bavicha bure Kabisa
 
Wewe mwenzetu unaabudu wapi kusiko na changamoto?
... shaheed wa mnyaazi huyo! Kukata watu koromeo haoni shida ila Mchungaji kupewa likizo humtoka maneno yasiyo na hisabu.
 
CCM ni wauaji, badala ya kuanzisha vita ya msituni kuingoa CCM, the first option ni kukaa na muuaji kuona kama ana akili za ziada kuona hatari iliyo mbele. sasa muuaji ameliona hilo, why usizungumze?
Vita ya msituni muanzishe na hivyo vitambi vyenu vya mbege?!!
 
Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata. Ww angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Hivi Nanyantole kwa kiswahili ndiyonwanaita Nyanyachungu?
 
Back
Top Bottom