johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kabisa, kama anadhani hajatendewa hakiKumbe anaweza kuwashtaki CMA?
Wewe mwenzetu unaabudu wapi kusiko na changamoto?Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko...
Swala la Mwajiri na Mwajiriwa Waumini wamelishikia bangoHili jambo linakuzwa sana pasi na sababu yeyote.
Siyo rahisi kama unavyofikiriAanzishe kanisa lake kama Mwamposa au Gwajima.
Ushageuza hili ni Swala la migombaniMashetani ni kama wewe unayebariki uhuni wa malasusa!
Thubutu!"ELIONA KIMARO HAPO ALIPO TAYARI NI TAASISI KAMILI"
umenena mtumishiMakanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu...
Huwa sina ubia au uanachama na Chadema and for that matter Bavicha ila nawaunga mkono kwa 1,000,000,000,000% times kwa wanachokifanya. Mwenye akili yeyote atakuwa na Chadema kwa namna yoyte ile. Wezi, wahuni, kama nyinyi ndio mko CCM. Waungwana tuko Chadema.Ushageuza hili ni Swala la migombani
We bavicha bure Kabisa
Na Chadema iko CCM kwenye MaridhianoHuwa sina ubia au uanachama na Chadema and for that matter Bavicha ila nawaunga mkono kwa 1,000,000,000,000% times kwa wanachokifanya. Mwenye akili yeyote atakuwa na Chadema kwa namna yoyte ile. Wezi, wahuni, kama nyinyi ndio mko CCM. Waungwana tuko Chadema.
... shaheed wa mnyaazi huyo! Kukata watu koromeo haoni shida ila Mchungaji kupewa likizo humtoka maneno yasiyo na hisabu.Wewe mwenzetu unaabudu wapi kusiko na changamoto?
CCM ni wauaji, badala ya kuanzisha vita ya msituni kuingoa CCM, the first option ni kukaa na muuaji kuona kama ana akili za ziada kuona hatari iliyo mbele. sasa muuaji ameliona hilo, why usizungumze?Na Chadema iko CCM kwenye Maridhiano
Ndio sababu nakuambia Wewe bavicha bure Kabisa
Vita ya msituni muanzishe na hivyo vitambi vyenu vya mbege?!!CCM ni wauaji, badala ya kuanzisha vita ya msituni kuingoa CCM, the first option ni kukaa na muuaji kuona kama ana akili za ziada kuona hatari iliyo mbele. sasa muuaji ameliona hilo, why usizungumze?
Hivi Nanyantole kwa kiswahili ndiyonwanaita Nyanyachungu?Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata. Ww angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.