Tusitengeneze 'character' mpya ambayo Rais Samia hakuwa nayo

Tusitengeneze 'character' mpya ambayo Rais Samia hakuwa nayo

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Kuna msemo wa Kiswahili unaosema "Ukimkimbiza sana mjusi hugeuka kua nyoka na kukuuma"

Viongozi wa upinzani piganieni haki yenu ya Kikatiba kwa sasa. Ambayo ni kufanya mikutano ya hadhara hiyo ipo wazi. Simamieni hapo Katiba imewaruhusu na Mama hawezi kuzuia hilo. Anapaswa kuheshimu Katiba.

Ila hii agenda ya kutaka kuleta maandamano na taharuki kwa kudai Katiba mpya, you're being unfair to her. Why mnataka Katiba mpya? Because you believe it will favour you kisiasa in one way or another na hiyo ndio agenda yenu kuu out of Katiba the rest ni blah blah blah tu. And for her the current constitution favours her. Hivyo muhimu ni kukaa chini na kuafikiana jinsi ya kupata Katiba mpya. Plus, amesema yupo tayari kwa kuanza mchakato wa Katiba mpya na atalifanyia kazi Ila tu katika checklist yake haipo juu ila ipo somewhere along the list.

Kumlazimisha aendeshe nchi kutokana na matakwa yenu kuna hatari ya kutengeneza a monster out of her. Vyovyote iwavyo kuna njia nyingi sana kufanya sauti yenu isikike tunaishi zama za technology itumieni vizuri, tengenezeni maudhui ya kutosha watu tutaelewa. Simamieni msimamo wa mikutano ya hadhara hiyo ni haki yenu Ila kuingia mitaani kuleta taharuki kisa tu mnaamini she's a cool person ambaye ukimpush hataweza kuhimili pressure sio poa.

"Ukimkimbiza sana mjusi hugeuka kua nyoka na kukuuma"
 
Miaka mitano ya jiwe itoshe kukuonyesha jinsi gani katiba hii ilivyo na mapungufu makubwa ambayo viraka havitoshi tena bali vazi jipya linahitajika.
Kabisa Katiba inahitajika, but the question is how tunaipata? Na jiwe stated clearly haitaki na hakuna kitu walimfanya but mama kasema ataileta yet wanataka aione ikulu chungu
 
Kabisa Katiba inahitajika, but the question is how tunaipata? Na jiwe stated clearly haitaki na hakuna kitu walimfanya but mama kasema ataileta yet wanataka aione ikulu chungu
Mama anasema kwa sasa katiba mpya hapana hivyo tusubiri kwanza, na Magufuli alisema katiba mpya sio kipaumbele chake, kuna tofauti yoyote hapo?

Kumbuka mama ana miaka minne tu kabla ya kumaliza ingwe hii, anaposema tusubiri kwanza ajenge uchumi, maana yake ni nini?
Kuna uchumi unaojengwa kwa miaka minne ukasimama? Na hiyo katiba itatafutwa lini?

CCM imekuwepo kwa miaka 60 sasa, na miaka yote tumeambiwa tutulie tujenge uchumi ambapo badala ya uchumi kuinuka kwenda juu umekuwa ukipanda, kusimama na kuporomoka. Uchumi upi huo ambao mama anaotaka kuujenga?
 
Hakuna wa kuandamana, Atajikuta mwenyewe

Huyu bwana makes money kwa kutumia hizi chaos

Siasa zetu ni biashara ya black market tu, wanaofaidi ni wachache mno
 
Mama anasema kwa sasa katiba mpya hapana hivyo tusubiri kwanza, na Magufuli alisema katiba mpya sio kipaumbele chake, kuna tofauti yoyote hapo?

Kumbuka mama ana miaka minne tu kabla ya kumaliza ingwe hii, anaposema tusubiri kwanza ajenge uchumi, maana yake ni nini?
Kuna uchumi unaojengwa kwa miaka minne ukasimama? Na hiyo katiba itatafutwa lini?

CCM imekuwepo kwa miaka 60 sasa, na miaka yote tumeambiwa tutulie tujenge uchumi ambapo badala ya uchumi kuinuka kwenda juu umekuwa ukipanda, kusimama na kuporomoka. Uchumi upi huo ambao mama anaotaka kuujenga?
Mmeshawahi kulazimisha kipi kutoka kwenye Dola mkafanikiwa ?
 
With all due respect to upinzani huyu Mama ana miez mitatu na kidogo toka amechukua madarka ila tunataka kumtreat kama tayar kashamaliza mwaka mzima

Enzi za marehemu hakukua na haya na hakuna aliefanya kitu wote tulitulia so lets not take advantage ya upole wake kupush beyond the limit

Swala la mikutano ya kisiasa lipo kikatiba na liheshimiwe wafanye siasa zao kama ambavyo sa hv wanaendlea nazo

Ila swala la katiba mpya hzo ni gharama nyengne ambazo huwez kulala na kuamka ukasema utalifanya mind you mchakato wa zamani uliishia njian na watu walishalipwa hela zao za vikao na maisha yakendlea na haikufika mwisho so hata hili la sa hvi tusilipelke kwa mihemuko sana kwa maana kuna gharama za kulipa na walipaji ni sie watanzania,

Na kwa aina ya uchumi wetu ili kufacilitate katiba mpka ikamilike ni lazma kuja jambo jengne ama mradi mwengine ukae pembeni kwa wakat huo ili kufanya hili hatuna hyo economic muscles ya kufanya yote

NB. Kila mtu ana kiwango chake cha ushetani tujitahd sana usimtoe shetan wa mwenzio akakuadhibu.
 
With all due respect to upinzani huyu Mama ana miez mitatu na kidogo toka amechukua madarka ila tunataka kumtreat kama tayar kashamaliza mwaka mzima

Enzi za marehemu hakukua na haya na hakuna aliefanya kitu wote tulitulia so lets not take advantage ya upole wake kupush beyond the limit

Swala la mikutano ya kisiasa lipo kikatiba na liheshimiwe wafanye siasa zao kama ambavyo sa hv wanaendlea nazo

Ila swala la katiba mpya hzo ni gharama nyengne ambazo huwez kulala na kuamka ukasema utalifanya mind you mchakato wa zamani uliishia njian na watu walishalipwa hela zao za vikao na maisha yakendlea na haikufika mwisho so hata hili la sa hvi tusilipelke kwa mihemuko sana kwa maana kuna gharama za kulipa na walipaji ni sie watanzania,

Na kwa aina ya uchumi wetu ili kufacilitate katiba mpka ikamilike ni lazma kuja jambo jengne ama mradi mwengine ukae pembeni kwa wakat huo ili kufanya hili hatuna hyo economic muscles ya kufanya yote

NB. Kila mtu ana kiwango chake cha ushetani tujitahd sana usimtoe shetan wa mwenzio akakuadhibu.
Halafu wanashindwa kujua, aliyeondoka ni Magufuli ila machinery yote iliyokuwa inatekeleza "ukenge" wa Magu sasa hivi iko mikononi mwa Samia.

Wapinzani wanapenda sana kupush agenda ambazo hazigusi maisha ya watu directly ndio maana hata uungwaji mkono wao unakosa nguvu.
 
Nimedhamiria kumpa Mama muda kidogo ila sio kwa ajili ya kujenga Uchumi bali aizoee Ofisi halafu ajiweke sawa ndio nianze maandamano.
 
Mkuu kwamba:

"Viongozi wa upinzani piganieni haki yenu ya Kikatiba kwa sasa. Ambayo ni kufanya mikutano ya hadhara hiyo ipo wazi. Simamieni hapo Katiba imewaruhusu na Mama hawezi kuzuia hilo. Anapaswa kuheshimu Katiba."

Mbona yote mawili haya ya mikutano na katiba mpya Mama kaomba apewe muda asimamishe uchumi kwanza? Kwanini sasa wewe unawachagulia la mikutano tu wala si la katiba mpya tu?

Kigezo kipi kitumike kufanya kile ambacho yeye anaona apewe muda kwanza?

Mwongozo wako tafadhali.
 
Katiba ya sasa anaendelea kuivunja kwa kuzuia mikutano ya hadhara.
Tulimchekea Meko akaiba uchaguzi 2019 na 2020.
 
Nimedhamiria kumpa Mama muda kidogo ila sio kwa kujenga Uchumi bali aizoee Ofisi halafu ajiweke sawa ndio nianze maandamano.

Kuna haja ya kujikita kwenye elimu kwa wasioelewa lakini si wanufaika na katiba hii. Kurumbana na Etwege au Idugunde na wenzao haiwezi kuwa na tija:


Au nasema uongo ndugu zangu kina Missile of the Nation Mshana Jr Kipangaspecial na wazalendo wenzangu?
 
Hakuna wa kuandamana, Atajikuta mwenyewe

Huyu bwana makes money kwa kutumia hizi chaos

Siasa zetu ni biashara ya black market tu, wanaofaidi ni wachache mno
Hujaskia anaposema ama tukae mezani kwa maridhiano! Hayo maridhiano ni kwamba wachukue mtonyo wakaushe ndio style ya bwana Aikaeli na genge lake toka zama za mzee wa Msoga!
 
Hawa jamaa bure kabisa nilikua nawasupport ila kwa sasa naona hawana maana yoyote.
Mtu kashawaambia nitalifanyia kazi vuteni subira,wao wanataka kumlazimisha. Kipindi cha Magufuli wasingefanya huu ujinga kabisa.
Mbowe kazunguka nchi nzima na mikutano yake hajazuiwa na polisi hata mmoja kakosa kick sasa anatafuta kick huku. Wapuuzi sana hawa.
 
Hatuhutaji katiba mpya. Tunatakiwa kurekebisha iliyopo. Mambo ya katiba mpya ni mlolongo mrefu usiyo na maana. Kenya walitengeneza katiba mpya lakini bado wanasema inamapungufu na irekebishwe.
 
Hujaskia anaposema ama tukae mezani kwa maridhiano! Hayo maridhiano ni kwamba wachukue mtonyo wakaushe ndio style ya bwana Aikaeli na genge lake toka zama za mzee wa Msoga!
Jamaa dalali mzuri Sana aisee

Anaweza kukuuzia hata bandari kwa bei ya open space

Anataka kuandamana na mihadhara kwanza, uchumi badae
 
Jamaa dalali mzuri Sana aisee

Anaweza kukuuzia hata bandari kwa bei ya open space

Anataka kuandamana na mihadhara kwanza, uchumi badae
Kinachotafutwa na hizi kelele ni mgao tu hamna kingine 😂😂😂 ila watu wenye akili finyu watahisi jamaa anawapenda sana watanzania! Na amewawasha gari kweli kweli wale mashabiki mandaZi wa Bavicha!

Anatumia Tag ya “watanzania” kama Catalyst ya kupata anachotaka kwa manufaa binafsi na majinga yanashangilia 🤣😂😅
 
Back
Top Bottom