Tusitengeneze 'character' mpya ambayo Rais Samia hakuwa nayo

Tusitengeneze 'character' mpya ambayo Rais Samia hakuwa nayo

Baada ya kugundua ameiba mlifanya nini
Kwani yuko wapi Sasa?. Jiwe Kawa udongo. yuko Mungu juu mbinguni ajibuye maombi. Naomba ajibu Pia jun ya wate walokuwa Wanamsupport jiwe Kwa Kuishi Kwa Misukosuko.
 
Kwani yuko wapi Sasa?. Jiwe Kawa udongo. yuko Mungu juu mbinguni ajibuye maombi. Naomba ajibu Pia jun ya wate walokuwa Wanamsupport jiwe Kwa Kuishi Kwa Misukosuko.
Kufa hata wewe utakufa pia
 
Jinsi watu wanao support upinzan miaka yote humu wanavyo waponda chadema ..hata siamini..

Binafsi namshangaa sana Mbowe..
Anachuja haraka sana
Mbowe kazingua mkuu!Huyu mama pamoja na kuwa ni ccm lakini hili jambo tukienda nae mdogo mdogo ataliweka sawa tu.
Sasa mijitu inakurupuka tunataka katiba leo kesho ikishindikana tunaingia barabarani.Wakati juzo tu hapo walikua Dubai nchi imewashinda.
Kiukweli hata mimi nataka katiba mpya lakini Mwenye nchi kasema vuteni subira, basi tunavuta subira. Mbona aliepita aliwaambia sio kipaumbele chake na hawakufanya kitu.
Huyu kawaacha mpaka wamekutana wakajadili wala hajatumia nguvu kuwatawanya halafu wanaleta mambo ya kipuuzi hapa. Shwaini kabisa hawa.
 
Ataandamana na peke ake, kwanza wakati sisi tunakula msoto ye alikimbilia Dubai kula halwa, angekuwa mwanaume kweli angebaki hapa hapa tusote wote.
 
Naona tumefanikiwa kumpa Mama character mpya.

"Kazi iendelee"
 
Back
Top Bottom