Uko sahihi kabisa mkuu, Ila mchakato wa katiba una gharama zake je tuko tayari kuzibeba kwa sasa hivi kama nchi ama ni wanasiasa wanataka kuyafanya yanayowafurahisha wao?Mi najua katiba mpya lengo kuu siyo kufavour upinzani pekee bali watanzania wote, yasije tokea yaliyotokea awamu ya mwendazake (one man show) maana katiba ilimpa nguvu kubwa sana. Pia katiba mpya nina imani itasaidia mihimili kama mahakama na bunge kupunguza kuingiliwa zitatenda kwa haki na kujisimamia pasipo kusubiri maamuzi toka juu mawinguni.
Kama hazina fungu lipo hakuna budi kuanza huo mchakato. Muda ni sasa.Uko sahihi kabisa mkuu, Ila mchakato wa katiba una gharama zake je tuko tayari kuzibeba kwa sasa hivi kama nchi ama ni wanasiasa wanataka kuyafanya yanayowafurahisha wao?
Kwa "watawala" wa Kiafrika unatarajia katiba itakwe kwa namna unayoielezea?You must be kidding!Kama katiba mpya iliyo bora ni muhimu sasa hizo njia unazozipendekeza kwa Afrika kuna sehemu unakwama sana.Think and think twice as much!😝😝😝😝😝😝Kabisa Katiba inahitajika, but the question is how tunaipata? Na jiwe stated clearly haitaki na hakuna kitu walimfanya but mama kasema ataileta yet wanataka aione ikulu chungu
Tatizo halikuwa katiba Bali ni usimamizi wake, kama hatuwezi kuilinda na kuisimamia katiba iliyopo...hiyo katiba mpya itakuwa na maajabu gani?Miaka mitano ya jiwe itoshe kukuonyesha jinsi gani katiba hii ilivyo na mapungufu makubwa ambayo viraka havitoshi tena bali vazi jipya linahitajika.
Ishu ya mikutano ya hadhara ipo kwenye katiba ya nchi ambayo inabidi kuheshimiwa kuliko kitu chochote.Mkuu kwamba:
"Viongozi wa upinzani piganieni haki yenu ya Kikatiba kwa sasa. Ambayo ni kufanya mikutano ya hadhara hiyo ipo wazi. Simamieni hapo Katiba imewaruhusu na Mama hawezi kuzuia hilo. Anapaswa kuheshimu Katiba."
Mbona yote mawili haya ya mikutano na katiba mpya Mama kaomba apewe muda asimamishe uchumi kwanza? Kwanini sasa wewe unawachagulia la mikutano tu wala si la katiba mpya tu?
Kigezo kipi kitumike kufanya kile ambacho yeye anaona apewe muda kwanza?
Mwongozo wako tafadhali.
Ana points na busara nzuri Sana akiamuaKinachotafutwa na hizi kelele ni mgao tu hamna kingine 😂😂😂 ila watu wenye akili finyu watahisi jamaa anawapenda sana watanzania! Na amewawasha gari kweli kweli wale mashabiki mandaZi wa Bavicha!
Anatumia Tag ya “watanzania” kama Catalyst ya kupata anachotaka kwa manufaa binafsi na majinga yanashangilia 🤣😂😅
Hana utulivu wa akili mwenyekiti wenu anakuwa kama wale madem wembamba wa uswahilini wakipandisha vichaa vyao midomo inaropokwa tu bila breki!Ana points na busara nzuri Sana akiamua
Lakini kabla hata hatujapona vidonda na makovu ya akila Aquilina, yeye kaona tuanze kuandamana tena
Nimeshindwa kumuelewa....
He needs to let people health, settle, reflect and focus on some bigger things kwanza
Bahati Mbaya mim na ww hatujui hazina kuna kiasi gani na kip muhimu kwa sasa...Kama hazina fungu lipo hakuna budi kuanza huo mchakato. Muda ni sasa.
Yule ni mwenyekiti wa chademaHana utulivu wa akili mwenyekiti wenu anakuwa kama wale madem wembamba wa uswahilini wakipandisha vichaa vyao midomo inaropokwa tu bila breki!
Hata sasa hivi wakitaka kuiba wanaiba tu na hakuna kitu utafanya.Katiba ya sasa anaendelea kuivunja kwa kuzuia mikutano ya hadhara.
Tulimchekea Meko akaiba uchaguzi 2019 na 2020.
Mama yupo sana sio wakati mzuri wa katiba mpyaKuna haja ya kujikita kwenye elimu kwa wasioelewa lakini si wanufaika na katiba hii. Kurumbana na Etwege au Idugunde na wenzao haiwezi kuwa na tija:
Wanufaika wa Katiba Iliyopo hawahitaji elimu
Katiba Iliyopo ina mapungufu mengi yasiyoweza kuvumilika zaidi. Ni wazi kuwa anayebeza jitihada zozote za kuanzishwa tena kwa mchakato wa kupata katiba mpya kiporo uliobakia, ni kwa sababu tu ya kuwa na uelewa mdogo au ni mnufaika wa moja kwa moja wa katiba mbovu hii iliyopo. Wanaobeza...www.jamiiforums.com
Au nasema uongo ndugu zangu kina Missile of the Nation Mshana Jr Kipangaspecial na wazalendo wenzangu?
Siku zote muumba anafyeka mwizi wa kula kama alivyotufanyia juziHata sasa hivi wakitaka kuiba wanaiba tu na hakuna kitu utafanya.
Tuliomba [emoji120] na tukajibiwaBaada ya kugundua ameiba mlifanya nini
Akili za mwendokasi hiziTuliomba [emoji120] na tukajibiwa
Bcz Roho ya Upole ya Malkia wa Nchi inatawala..Jinsi watu wanao support upinzan miaka yote humu wanavyo waponda chadema ..hata siamini..
Binafsi namshangaa sana Mbowe..
Anachuja haraka sana
Majuzi Mbowe anazunguka nchi nzima kuna mtu alimzuia?.Ishu ya mikutano ya hadhara ipo kwenye katiba ya nchi ambayo inabidi kuheshimiwa kuliko kitu chochote.