smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Kama ni waongo sawa!!ajitokeze yeye basi hadharani aseme yeye yupoooo ngangari.km alivo tumbua kina wafanyakazi fake.anakimbia kimbia nini. Anaweza kuwa ras fake km anavoitaga wengine.afya haimruhusukuwa rais wenuTunapinga uongo wao siyo habari zao,. Wawe wakweli,