'Tusivifokee' vyombo vya habari vya nje kuripoti taarifa kuhusu hali ya Rais Magufuli!

Eeee bhana eeee
 
Queen Esther, Raisi ana mke tayari halafu ni marehemu ameacha mjane. Unajipendekeza kupita kiasi bila faida yoyote. Puppet kama wewe, huna uhalali wa kumuongelea mtumishi wa MUNGU anayeheshimika kama huyo kama ulivyofanya. Siku chache zijazo ukiona huyo marehemu anazikwa utajisikiaje? Uzuri ni kwamba sote tumejificha kwenye fake IDs. Tungekuwa verified, ingekuwa bonge la aibu. Kilangila.
 
Nenda kwenye point acha kugombana na Askofu Mwamakula. Kama Meko yupo hai naye si mumlazimishe akaongee na vyombo vya habari kama alivyomlazimisha Dr Mpango aongee akiwa na catheters mkononi.

La sivyo tutaendelea kuhoji mpaka mumzike au mumfufue
 
Nenda kwenye point acha kugombana na Askofu Mwamakula. Kama Meko yupo hai naye si mumlazimishe akaongee na vyombo vya habari kama alivyomlazimisha Dr Mpango aongee akiwa na catheters mkononi.

La sivyo tutaendelea kuhoji mpaka mumzike au mumfufue
Mkuki Kwa nguruwe, Jiwe nae adhalilike kama anavyodhalilisha wenzie. Mpango nimemshusha heshima Tumbo linamsababisha ajidhalilishe kiasi hiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…