Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Taifa linapokuwa na wahitimu wa chuo kikuu ambao hata wakikaa mitaani ni kama hawajamaliza form four ni aibu kwa taifa.
Ni lazima wapimwe kwa mitihani ambayo ina vigezo vya kimataifa.
Bahati nzuri dunia nzima masomo ni yaleyale tu.
Sasa kama vyuo vitawalegezea wanafunzi ili waonekane wamefaulu wakati hawajaiva ni aibu kubwa.
Ndio maana sasa hivi ni aibu kwa graduates wengi wa vyuo vikuu. Aibu kubwa.
Ni lazima wapimwe kwa mitihani ambayo ina vigezo vya kimataifa.
Bahati nzuri dunia nzima masomo ni yaleyale tu.
Sasa kama vyuo vitawalegezea wanafunzi ili waonekane wamefaulu wakati hawajaiva ni aibu kubwa.
Ndio maana sasa hivi ni aibu kwa graduates wengi wa vyuo vikuu. Aibu kubwa.