Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
mmemchuza baba riz akajitamkia kuwa 30 april tunapiga kura ya maoni... Tunapiga wapi wakati hata mikoa mitatu ya zoezi la kujiandikisha upigaji haijafikia.. Kweli nimeamini baba riz ni dhaif.. Hata akichuuzwa anaelekea tu. 30 apr hiyooooo tuone hilo zoezi kama litafanyika.
bado hujitambui, umejifanya kuedit sehemu uloandika uwongo, namna hiyo ndo tuseme wewe ni great thinker au thinkerless?!! Hapo ndo tunapata kujua we ni kiazi na hutufai humu ndani kwani unapotosha umma na wana jf kwa vitu usivyovijua. Hatukuamini tena wewe!!
Hapo chini nimeattach hiko ulichopost mwanzo ukajibiwa lakini bila aibu umejifanya kubadilisha, hahaha it is too late wewe muongo sana na msanii!! Aibu hiyooo.
View attachment 236174