Tusizinguane, Tujipange upya

Tusizinguane, Tujipange upya

mmemchuza baba riz akajitamkia kuwa 30 april tunapiga kura ya maoni... Tunapiga wapi wakati hata mikoa mitatu ya zoezi la kujiandikisha upigaji haijafikia.. Kweli nimeamini baba riz ni dhaif.. Hata akichuuzwa anaelekea tu. 30 apr hiyooooo tuone hilo zoezi kama litafanyika.

bado hujitambui, umejifanya kuedit sehemu uloandika uwongo, namna hiyo ndo tuseme wewe ni great thinker au thinkerless?!! Hapo ndo tunapata kujua we ni kiazi na hutufai humu ndani kwani unapotosha umma na wana jf kwa vitu usivyovijua. Hatukuamini tena wewe!!

Hapo chini nimeattach hiko ulichopost mwanzo ukajibiwa lakini bila aibu umejifanya kubadilisha, hahaha it is too late wewe muongo sana na msanii!! Aibu hiyooo.

View attachment 236174
 
Mmemchuza baba riz akajitamkia kuwa 30 APRIL tunapiga kura ya maoni... Tunapiga wapi wakati hata mikoa mitatu ya zoezi la kujiandikisha upigaji haijafikia.. Kweli nimeamini baba riz ni dhaif.. Hata akichuuzwa anaelekea tu. 30 APR hiyooooo tuone hilo zoezi kama litafanyika.

Mwalla mpaka nikusemee ndo unadesa na kubadilisha. Wewe huna jipya na sina sababu ya kukujua. Jinsi ulivyo ndivyo ninavyokujua. Au ni kwambie wewe ni nani! Wewe ni mchemkaji asiyejua kujenga hoja ndo mana hata huwezi kuwa kiongozi hata wa kikao cha harusi. Sasa wewe unafaa kuongoza kitu gani ndugu Mwalla. Hebu jitahidi kuonana na watu kama sisi tukufundishe namna ya kujenga hoja kama mtoto wa chekechea anavyofundishwa kushika kalamu. Ndo mana ulitaka kugombea ujumbe katika uchaguzi wa serikali za mitaa ukazuiliwa njiani kwani walikujua jinsi ambavyo huwezi kuongoza. Sasa uongo wako umefika mwisho kwani mwanzoni ulitudanganya kuwa Mhe. alisema kura ya maoni ni 30 Oktoba. Toa hoja acha kubunibuni vitu vya uongo.
 
soma hiyo katiba acha longolongo... WE C UMEINGIA JUZI TU HUMU JF !! SASA HAYA NDO MAMBO YA HUMU VUMILIA TU UTAZOEA

Eheee wewe uliyeingia zamani tena una kititle cha JF Expert mbona huna jipya unatoa mishuzi ya maharage tuu humu wenzio wameona unaongea pumba huna hoja wakajiunga, isitoshe forum hii haina mtu mwenye hati miliki ni ya watanzania wote,kama ulitamani ukae humu wewe na ndugu zako umechemka kama ni kuharibu watu wanaweza sana kuwa mstaarabu acha tabia za kibokoharamu.
 
nawapongeza sana sana maaskofu kwa kazi wanayoifanya ya kuelimisha jamii ya wasiojitambua.. Wajitambue na kuelewa kuwa kitabu kilichotungwa na fisadi chenge and company hakifai hata kufungia maandazi.
Na siku yoyote kama itatokea tukapige kura ya ''hapana'' kwa hicho kitabu chao cha wasanii
.

Hivi Katiba Inayopendekezwa imeandikwa kwa maudhui yaliyotolewa na Chenge au Wajumbe zaid ya 400 wa Bunge Maalum la Katiba....Nikijibiwa hili nitajuwa uwezo wa huyu mtu wa kufikiri na kuchambua mambo
 
Hivi Katiba Inayopendekezwa imeandikwa kwa maudhui yaliyotolewa na Chenge au Wajumbe zaid ya 400 wa Bunge Maalum la Katiba....Nikijibiwa hili nitajuwa uwezo wa huyu mtu wa kufikiri na kuchambua mambo

mtachonga sana lakni ukweli unabaki PALEPALE wananchi hawataki usanii wa FISADI CHENGE AND COMPANY tunawashukuru sana maaskofu kuweka wazi usanii wenu wa ccm. siku yoyote mtakayoamua kura ipigwe majibu yatakuwa ni ''HAPANA''
JE UNASEMAJE KUHUSU RASIMU YA WARIOBA je ameiandika chumbani kwake au aliyoyasema ni maoni ya wanawanchi hii tukufu? na kwanini BABA RIZ amemtosa WARIOBA akidhani ile rasimu ametoka nayo nyumbani kwake?
mtahangaika sana nyie chekechea wa LUMUMBA siku ikifika ni KURA YA HAPANA TU.
 
soma hiyo katiba acha longolongo... WE C UMEINGIA JUZI TU HUMU JF !! SASA HAYA NDO MAMBO YA HUMU VUMILIA TU UTAZOEA

Eheee wee Zombi uliyeingia zamani tena na kititle chako cha JF Expert mbona huna jipya unatoa mishuzi ya maharage humu hata hatukuelewi wenzio wameona unaongea pumba huna hoja wakajiunga ili kukuelimisha uache mishuzi yako isitoshe forum hii haina mtu mwenye hati miliki ni ya watanzania wote na tunaiheshimu sna,kama ulitamani ukae humu wewe na ndugu zako umechemka kama ni kuharibu watu wanaweza sana kuwa mstaarabu acha tabia za kibokoharamu.
 
bado hujitambui, umejifanya kuedit sehemu uloandika uwongo, namna hiyo ndo tuseme wewe ni great thinker au thinkerless?!! Hapo ndo tunapata kujua we ni kiazi na hutufai humu ndani kwani unapotosha umma na wana jf kwa vitu usivyovijua. Hatukuamini tena wewe!!

Hapo chini nimeattach hiko ulichopost mwanzo ukajibiwa lakini bila aibu umejifanya kubadilisha, hahaha it is too late wewe muongo sana na msanii!! Aibu hiyooo.

View attachment 236174

inawauma sana lkn vumilieni tu. Mwisho wa usanii wenu umefika
 
inawauma sana lkn vumilieni tu. Mwisho wa usanii wenu umefika

we ndo imekuuma unapotosha watu humu ndani, hata tarehe za kura ya maoni huijui unaanza kudanganya watu, umeshachemka wewe kidudu, we muongo hufai kabisaa humu ndani.
 
eheee wee zombi uliyeingia zamani tena na kititle chako cha jf expert mbona huna jipya unatoa mishuzi ya maharage humu hata hatukuelewi wenzio wameona unaongea pumba huna hoja wakajiunga ili kukuelimisha uache mishuzi yako isitoshe forum hii haina mtu mwenye hati miliki ni ya watanzania wote na tunaiheshimu sna,kama ulitamani ukae humu wewe na ndugu zako umechemka kama ni kuharibu watu wanaweza sana kuwa mstaarabu acha tabia za kibokoharamu.

wewe mapengo mburula na ccm yako ndio bokoharam ila hamjitambui kama ni bokoharamu...
Mwaka huu lazima lazima tuwainamishe mpate maumivu polepole.
 
we ndo imekuuma unapotosha watu humu ndani, hata tarehe za kura ya maoni huijui unaanza kudanganya watu, umeshachemka wewe kidudu, we muongo hufai kabisaa humu ndani.

Wewe ndio ucwe LAFA humu ndani kwa kukuelimisha makamanda wooote wanajitambua na tunajua nini kinachoendelea.
 
wewe mapengo mburula na ccm yako ndio bokoharam ila hamjitambui kama ni bokoharamu...
Mwaka huu lazima lazima tuwainamishe mpate maumivu polepole.

huna hoja wewe muongo mkubwaaa eti jk kasema kura ya maoni taehe 30 oktoba!! Jk wa wapi huyo? Au kwenu? Acha usanii humu ndani, tumekustukia wewe ni lijitu liongo na usiefaa humu ndani, ondoka sura mbaya wewe!!
 
we ndo imekuuma unapotosha watu humu ndani, hata tarehe za kura ya maoni huijui unaanza kudanganya watu, umeshachemka wewe kidudu, we muongo hufai kabisaa humu ndani.

afu natamani nikugegedeee ... upo wapi nikuzukie unaonekana bado weyeee
 
wewe ndio ucwe lafa humu ndani kwa kukuelimisha makamanda wooote wanajitambua na tunajua nini kinachoendelea.

utajiju wee na ukawa wako huko, kila mtu anahaki ya kutetea mustakabali wa nchi yetu, wewe kama umechoka kuishi tz hamia syria huko, hutakiwi humu wewe ni mpotoshaji mkubwa usiyejua hata tarehe za kura ya maoni, unachanganya na tarehe za uchaguzi mkuu, sasa kwa hali hiyo utaielewa vpo katiba inayopendekezwa?? Mbogo wewe.
 
afu natamani nikugegedeee ... Upo wapi nikuzukie unaonekana bado weyeee

mkubwa hatishiwi nyoka wa kuchora wewe kidudu mtu, kama maneno yangu yanakuumiza akili jinyonge, hatukutaki mtu gani usiyekuwa mzalendo na nchi yako,!! Khaaa hilooooo kubwa jinga weeee!!
 
huna hoja wewe muongo mkubwaaa eti jk kasema kura ya maoni taehe 30 oktoba!! Jk wa wapi huyo? Au kwenu? Acha usanii humu ndani, tumekustukia wewe ni lijitu liongo na usiefaa humu ndani, ondoka sura mbaya wewe!!

acha uzombi..
umeshaambiwa na maaskofu hakuna kupiga kura ya ndio kwenye kitabu chenu kilichotungwa na chengefisadi
ushauri nakushauri piga kura ya HAPANA kwa usalama wako. la sivyo.. la sivyo...
 
mkubwa hatishiwi nyoka wa kuchora wewe kidudu mtu, kama maneno yangu yanakuumiza akili jinyonge, hatukutaki mtu gani usiyekuwa mzalendo na nchi yako,!! Khaaa hilooooo kubwa jinga weeee!!

nchi ipi wewe lofa hii nchi hii?? hii ni koloni la mafisadi wa ccm soon tunaipatia uhuru na kuitwa nchi kamili tanganyika. ukizidiwa nenda pemba katafute makazi huko labda mtapata wa kuwaburuza.
 
mtachonga sana lakni ukweli unabaki palepale wananchi hawataki usanii wa fisadi chenge and company tunawashukuru sana maaskofu kuweka wazi usanii wenu wa ccm. Siku yoyote mtakayoamua kura ipigwe majibu yatakuwa ni ''hapana''
je unasemaje kuhusu rasimu ya warioba je ameiandika chumbani kwake au aliyoyasema ni maoni ya wanawanchi hii tukufu? Na kwanini baba riz amemtosa warioba akidhani ile rasimu ametoka nayo nyumbani kwake?
Mtahangaika sana nyie chekechea wa lumumba siku ikifika ni kura ya hapana tu.

wewe piga kura yako ya hapana lakini mwisho wa siku unywe sumu utakapoona wenzio ukawa wameipigia kura ya ndiyo baada ya kusoma katiba vizuri na kuielewa.
 
afu nakuonea huruma sana we chekechea hata umate haujakutoka unajifanya unajua kumbe ZOMBIIII la kutupa.


hatumuhitaji mtu muongo na mnafiki humu jf kama wewe, wewe umechemsha na unaonekana hata shule ulikimbia umande!! Kasome qt
.
 
mbaffff zako...
utapiga wewe na mumeo na mwenyekiti wako wa kijiji.
wewe piga kura yako ya hapana lakini mwisho wa siku unywe sumu utakapoona wenzio ukawa wameipigia kura ya ndiyo baada ya kusoma katiba vizuri na kuielewa.
 
Back
Top Bottom