Tusizuge na tuache Unafiki ukweli ni kwamba tuliomba hadi hata Kuroga tupangiwe na Asec ila Jini limeshindwa safari hii

Mwanangu una kingereza kibaya. Kwa unavyojisifu sikutegemea unaweza andika broken ya namna hii
Popoma hajui English yani anaongea kama binti wangu wa darasa la 5

Eti 'you provoke me'
 
Kiongozi acha kutumia ugoro, ni ushauri tu lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…