Uchaguzi 2020 Tutafakari: Kwanini Serikali iliamua kugharimia Uchaguzi Mkuu badala ya kuomba UNDP kama ilivyozoeleka?

Uchaguzi 2020 Tutafakari: Kwanini Serikali iliamua kugharimia Uchaguzi Mkuu badala ya kuomba UNDP kama ilivyozoeleka?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Tangu tupate uhuru wa bendera kutoka kwa Ufalme wa Uingereza, Tanzania tumekuwa tukiomba msaada wa kugharimia Chaguzi Kuu zote kutoka nchi marafiki na jumuia za kimataifa. Lakini uchaguzi wa mwaka huu imekuwa tofauti kabisa Serikali iliamua kugharimia, kitendo ambacho haiingii akilini kuwa ni cha busara.

Fedha ambayo imetumika kugharimia Uchaguzi huu ingeweza kutumika kugharimia miradi mingine ya maendeleo ili kuwapunguzia wananchi makali ya maisha na kujenga uchumi wa nchi.

Kwa jinsi ambavyo uchaguzi umeendeshwa na matokeo yake yanayoendelea kutangazwa, kwa vyo vyote vile Serikali ingepata lawama kubwa sana. Na kwa kuwa Serikali ilikuwa inafahamu jinsi itakavyosimamia uchaguzi kwa kufanya wizi, ulaghai na unyanyasaji wa wananchi wake kwa kuwapiga mabomu, risasi na marungu ikaona itumie fedha zake za ndani kupunguza hasira na lawama za kitaifa na kimataifa.

Jambo hili halikubaliki na ni dhuluma kwa Watanzania.
 
Kwa jinsi ambavyo uchaguzi umeendeshwa na matokeo yake yanayoendelea kutangazwa, kwa vyo vyote vile serikali ingepata lawama kubwa sana. Na kwa kuwa serikali ilikuwa inafahamu jinsi itakavyosimamia uchaguzi kwa kufanya wizi, ulaghai na unyanyasaji wa wananchi wake kwa kuwapiga mabomu, risasi na marungu ikaona itumie fedha zake za ndani kupunguza hasira na lawama za kitaifa na kimataifa...
Maelezo hayana ukweli na adhma ya serikali [emoji23][emoji23]
 
Kama siyo kweli, je inawezekanaje Magufuli apate kura nyingi zaidi kuliko walioandikishwa katika baadhi ya majimbo?
Lete source ya tume na sio chombo cha habari kilichokosea kunakiri tarakimu. Mnapenda kudandia hoja za kitoto sana, yaani umeshindwa kuangalia na kuthibitisha ni kweli tume wametanganza hivyo, kwa hiyo chombo cha habari kimoja miongoni mwa mamia ya vyombo vya habari kikikosea jimbo moja ni nongwa.
 
Hawa wahuni ndio walikuwa tegemeo la CDM
 

Attachments

  • 7433931B-69CB-4730-861C-DA83449AE823.png
    7433931B-69CB-4730-861C-DA83449AE823.png
    110.8 KB · Views: 1
  • 03DE5023-E95F-4CCE-897F-A85C0A169223.png
    03DE5023-E95F-4CCE-897F-A85C0A169223.png
    159.6 KB · Views: 1
  • 54FA6342-2B81-471F-8A65-85BCB26E0454.png
    54FA6342-2B81-471F-8A65-85BCB26E0454.png
    158 KB · Views: 1
Jiwe atakumbukwa kama dikteta aliyewahi kutokea Tanzania. Mwalimu nyerere alisema kwa katiba hii inaniruhusu hata kuwa Dikteta.
 
Tangu tupate uhuru wa bendera kutoka kwa Ufalme wa Uingereza, Tanzania tumekuwa tukiomba msaada wa kugharimia Chaguzi Kuu zote kutoka nchi marafiki na jumuia za kimataifa. Lakini uchaguzi wa mwaka huu imekuwa tofauti kabisa Serikali iliamua kugharimia, kitendo ambacho haiingii akilini kuwa ni cha busara.

Fedha ambayo imetumika kugharimia uchaguzi huu ingeweza kutumika kugharimia miradi mingine ya maendeleo ili kuwapunguzia wananchi makali ya maisha na kujenga uchumi wa nchi.

Kwa jinsi ambavyo uchaguzi umeendeshwa na matokeo yake yanayoendelea kutangazwa, kwa vyo vyote vile serikali ingepata lawama kubwa sana. Na kwa kuwa serikali ilikuwa inafahamu jinsi itakavyosimamia uchaguzi kwa kufanya wizi, ulaghai na unyanyasaji wa wananchi wake kwa kuwapiga mabomu, risasi na marungu ikaona itumie fedha zake za ndani kupunguza hasira na lawama za kitaifa na kimataifa.

Jambo hili halikubaliki na ni dhuluma kwa Watanzania.
Hilo Gazeti lako peleka wakafungie Vitumbua kisha mumpelekee Mamluki wenu wa Ubelgiji
Kisha pokea za Uso
 
Wamefanya walivyo taka, na adhima yao imetimilika.
Kwakua tayari uchaguzi umekwisha, na ccm imeshinda kwa kishindo (kwa kura za NEC), basi wacha maisha yaendelee na wao wasubiri kuapishwa kama desturi ilivyo.
 
Kama siyo kweli, je inawezekanaje Magufuli apate kura nyingi zaidi kuliko walioandikishwa katika baadhi ya majimbo?
Mkuu katika ulimwengu huu wa teknlojia ni rahisi sana hata kupata taarifa za White House ya Marekani ukiwa hapa kwangu Ng'wasilalage Kwimba Mwanza...sasa wewe ungetumia nafasi hiyo kuchunguza hiki unachokiandika kuwa ni kweli kabla ya kula matango poli hayo....jifunze kutumia akili yako kuliko kunakili kila unachoambiwa!
Ni wapi huko idadi ya wapiga kura ilizidi waliojiandikisha? leta chanzo cha habari yako kama ni #Kigogo 2014 nacho ni chanzo tu!
 
Yaani kuna wapuuzi wanaona fahari kuwa ombaomba tena kwa Jambo letu wenyewe wala sio maafa na tumepanga wenyewe kila baada ya miaka mitano tulifanye. Khaa!!! akili ya wapi hii hakika nilikua chadema haijawahi kuwa akili ya chadema hiyo. Ili taifa liendelee yafaa watu wenye mitazamo Kama yako muuliwe wote la ya sivyo Magufuli work done ni sawa na sifuri.
Imekuwa desturi hovyo yafaa tuiache ndicho anachofanya Magufuli muache kabisa mzee baba afanye yake
 
Lete source ya tume na sio chombo cha habari kilichokosea kunakiri tarakimu. Mnapenda kudandia hoja za kitoto sana, yaani umeshindwa kuangalia na kuthibitisha ni kweli tume wametanganza hivyo, kwa hiyo chombo cha habari kimoja miongoni mwa mamia ya vyombo vya habari kikikosea jimbo moja ni nongwa.
Kinachokuponza ni upumbavu wako!
 
CHADEMA mmeshindwa kihalali. Nyerere aliwahi kusema "Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata CCM watayatafuta nje ya CCM". Rais Magufuli, amefanya mabadiliko makubwa ndani ya ccm na hata kwenye serikali yenyewe, hivyo wananchi wameona hakuna haja ya kuwa na watu wababaishaji kule bungeni. Ushindi wa kishindo wa CCM, ni imani ya wananchi kwa serikali yao. Hapo ndio utajua, hata uwaburute kwa greda barabarani hutawaona ng'o.
 
Lete source ya tume na sio chombo cha habari kilichokosea kunakiri tarakimu. Mnapenda kudandia hoja za kitoto sana, yaani umeshindwa kuangalia na kuthibitisha ni kweli tume wametanganza hivyo, kwa hiyo chombo cha habari kimoja miongoni mwa mamia ya vyombo vya habari kikikosea jimbo moja ni nongwa.

Wewe ndo unaandika vitu vya kitoto sana Kwani hapa kawe mbona kura za magufuli zinazidi kura za wabunge kura zaidi ya laki moja, huu ni uchafuzi tu hakuna viongozi waliochaguliwa na wananchi ni dola imeamuwa kupandikiza watu wake sawa tu waendelee kutawala na huo udanganyifu wao halafu wataanza kusema waombewe lakini kwa hayo maovu kweli Kuna haja ya kuomba msaada wa kuombewa
 
Hivi ni kweli mwisho wenu wa kufikiri ndo umefikia huku, kwenu ni Bora tuombee msaada hali ya kuwa tunajiweza, hivi mtaacha lini kupinga na kukosa Kila kitu?
 
Yaani kuna wapuuzi wanaona fahari kuwa ombaomba tena kwa Jambo letu wenyewe wala sio maafa na tumepanga wenyewe kila baada ya miaka mitano tulifanye. Khaa!!! akili ya wapi hii hakika nilikua chadema haijawahi kuwa akili ya chadema hiyo. Ili taifa liendelee yafaa watu wenye mitazamo Kama yako muuliwe wote la ya sivyo Magufuli work done ni sawa na sifuri.
Imekuwa desturi hovyo yafaa tuiache ndicho anachofanya Magufuli muache kabisa mzee baba afanye yake
Akili za utegemezi ndio sukari ya mabeberu kwenye chai ya chadema. Kwenye Sera zao zoote zilikuwa tegemezi, ndio mpaka wanakubali kujiuza kwa kina Amsterdam na wenzake wapate chochote.
 
Tangu tupate uhuru wa bendera kutoka kwa Ufalme wa Uingereza, Tanzania tumekuwa tukiomba msaada wa kugharimia Chaguzi Kuu zote kutoka nchi marafiki na jumuia za kimataifa. Lakini uchaguzi wa mwaka huu imekuwa tofauti kabisa Serikali iliamua kugharimia, kitendo ambacho haiingii akilini kuwa ni cha busara.

Fedha ambayo imetumika kugharimia uchaguzi huu ingeweza kutumika kugharimia miradi mingine ya maendeleo ili kuwapunguzia wananchi makali ya maisha na kujenga uchumi wa nchi.

Kwa jinsi ambavyo uchaguzi umeendeshwa na matokeo yake yanayoendelea kutangazwa, kwa vyo vyote vile serikali ingepata lawama kubwa sana. Na kwa kuwa serikali ilikuwa inafahamu jinsi itakavyosimamia uchaguzi kwa kufanya wizi, ulaghai na unyanyasaji wa wananchi wake kwa kuwapiga mabomu, risasi na marungu ikaona itumie fedha zake za ndani kupunguza hasira na lawama za kitaifa na kimataifa.

Jambo hili halikubaliki na ni dhuluma kwa Watanzania.
Mambo kama haya wasingeweza kuyafanya kama wangedhaminiwa na UNDP
 
Back
Top Bottom