Tutafika mbinguni tumechoka sana. Huyu nae ni muimbaji wa Gospel huko Kenya

Tutafika mbinguni tumechoka sana. Huyu nae ni muimbaji wa Gospel huko Kenya

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Anaitwa Nica the queen

Dhambi mpya zimeanza baada ya Bwana Yesu kusulubiwa msalabani
FB_IMG_1681112472473.jpg
 
Wakenya kawaida hiyo, nyimbo za injili ni kichaka tu.
Baadae kidogo atakaua kama willy paul na bahati.
 
Mbona ana mwili m'baya sana, mapaja yana mabonde hayapo smooth still anavaa half naked!
 
ULISHAWAH KUONA AMEPANDA JUKWAANI AMEVAA HIVYO?
Jukwaa si tatizo anafaa kuwakilisha anachowakilisha ikiwa akitoka jukwaani ndivyo anavyofanana.Kila jamii ina mionekano na tabia zake.Mtu wa kiroho wa mungu antakiwa kuonekana kistaha.
 
Back
Top Bottom