Tutafika mbinguni tumechoka sana. Huyu nae ni muimbaji wa Gospel huko Kenya

Tutafika mbinguni tumechoka sana. Huyu nae ni muimbaji wa Gospel huko Kenya

Jukwaa si tatizo anafaa kuwakilisha anachowakilisha ikiwa akitoka jukwaani ndivyo anavyofanana.Kila jamii ina mionekano na tabia zake.Mtu wa kiroho wa mungu antakiwa kuonekana kistaha.
MBONA WAKINA DIAMOND WAKILA BATA MNAWASEMA WAKATI WANAISHI MAISHA YAO YA KISANII?? MNATAKA NINI ENYI BINAADAM?
 
Toka lini ukristo ikawa dini? Ukristo ni kikundi cha wahuni na wabakaju tu
Endelea na kimdomo chako hicho...
taarifa zako tunazo..
ulitubu tukakuelewa!
Screenshot_20230411-183517_1.jpg
 
Back
Top Bottom