Tutafute hela this. 2000$ apartment si mchezo

Tutafute hela this. 2000$ apartment si mchezo

Yan mitaa hiyo kumuona mbongo nadra labda wanaofanya mazoez,au walinzi wamejaa wazungu na wachina haha wacha tuzisake
 
Ukiwa na uwezo wa kulipa $2000 per month bila shaka hata uwezo wa kusimamisha mjengo wako wa maana ndani ya miezi mitatu upo.

Tafuta hela ujenge wako maeneo hayo, siyo upange.
Kujenga maeneo hayo huwez pata hata kiwanja..maana kote kuko occupied...yaan labda umuhamishe mtu..na ukimuhamisha mtu kwenye land ni mpka 2m $..labda ununue apartment gorofan ndo zipo had za 400m au 600m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komaa yote yanawezekana. Sasa wewe una exposure, wapo watu kibao wana mpunga wa kutosha na wanakaa sehemu za ajabu ajabu. Tafuta hela unanunua kabisa sio kulipa kodi, ila lazima uwe na hela maanake hata ukinunua kuna kulipa service charge kila mwezi minimum $200.
Hii apartment kanambia anataka akirud ainunue. Ingawa owner wa hzo apartment hauzi..ila anasema kaongea nae amuuzie sasa sjui itawezekana..ni kama 300k$ hiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu..nmehamia kwa sista hapa near sea clif..zile vilas and apartment ile barabara inayoenda sea clif baharin huku.aisee wakuu...niko hapa mwez mzima nalinda nyumba...hahhah..yaan namaanisha naamkia hapa kwenda kazin etc...yaan inshort huu mwez m1 nataka niutumie vizur sana hata kungoa ma slay queen nikidanganya kuwa hapa ni kwangu nime rent...

Wakuu..tutafte hela wakuu..hapa ni kama paradise..well..mijengo kama hii uswahilin kwetu ipo ila sasa hii location ndo kila kitu

Narudia tena. tutafte hela kwa njia yoyote ile ila isiwe hatarish wakuu

Yaan speed ntakayotoka nayo after this whole month ya utaftaj ni ya kiwango cha lami...

Wakuu tutafte hela..haya maisha kuna watu wanakula aisee..

The next apartment kuna wadada wa kichaga hawa wanaonekana kula bata usiku na mchana wala hawana kaz..sasa sielew mapesa haya wanatoa wap..

Well ..ukiuliza nimuulize sista yeye anapata wap pesa..well..my sista ni msomi pia ni wale mnaoskiaga wanasafiri kwenda geneva kila mwez so achen maswal..

Tutafte pesa .mim ni msomi lakin ndo hvyo nahangaika na mshahara wa gavamee.na biashara....hii mikoz ya sayansi kujifanya injinia saa zingne daah..msuli tembo matokeo sungura..

Ila siku 1 naamin namim ntaweza lipa rent hzi za 2000$....

Dah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakuachia nyumba yake yenye "utakaso"..umeshaanza kufikiria kuingiza vichenchede...[emoji26][emoji26]

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Kabisa mkuu..roho inaniuma sana kwamba kwann siingiz pesa nying kwa mwezi..na elimu nnayo ya kutosha..kiufup mim nyumban ndo mwenye matokeo ya kutisha ya kielimu..ila sasa kimaisha ndo bado .au nijipe muda

Sent using Jamii Forums mobile app
Umri wako ?

Umei wa unayehisi ni role modo wako kimaendeleo ?

Sijauli,a kwa kejeli bali nina hoja ya msingi ya kukuwasilishia
 
Tuma picha hizo stori...tupu hazina mpango...[emoji16][emoji16][emoji16]
Chkua hyo sasa..back view ..front view subiri
Screenshot_20220126-160423_1643203422988.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu nmefunga mkuu...yan hapa ndo umenipa mawazo ya kwamba sasa niko huku na kwangu inakuaje kuhusu usalama etc..ila ntakua naenda kila baada ya sku3...maana hapa kwenye hiz apartment hakuna threat yoyote. Nakaa ushahid tuu nakula good times..ila kuna security ya hali ya juu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini alikuomba ukae kwake wakati kwenye hiyo appartment pako secured na kwako hujamwacha mtu?
 
Sasa kwanini alikuomba ukae kwake wakati kwenye hiyo appartment pako secured na kwako hujamwacha mtu?
Mim ndio nilitoa wazo la sista unasafiri..nakuja kulinda nyumba..tehtehteh....huyu sista akisafiri ukienda kwake kama mlinz hyo pocket money anayokuachia unauwezo wa kufungua biashara ya tigo pesa ..hahah..acha..advantage ni nyingii mnoo..pia ukikaa hapo unauwezo wa kungoa hata mzungu..teheteh..joking

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim ndio nilitoa wazo la sista unasafiri..nakuja kulinda nyumba..tehtehteh....huyu sista akisafiri ukienda kwake kama mlinz hyo pocket money anayokuachia unauwezo wa kufungua biashara ya tigo pesa ..hahah..acha..advantage ni nyingii mnoo..pia ukikaa hapo unauwezo wa kungoa hata mzungu..teheteh..joking

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah

Kumbe wewe ndo uliomba..sawa mkuu kula sea breeze
 
Kuna dem nilimwoteaga samaki samaki katika kuchats sana tukaanza kudate sasa nilikuja data aliposema anakaaa double tree apartments.

Ofcoz nilikua naenda kwake namgonga ila nilikua na maswali sana dem anapata wopi kodi?? Anafanya kazi kampuni ya kawaida sana na mshahara wa kawaida sana.

Kumbe alikua na danga la kizungu ndo linampa maisha yule dada mlinzi ndo alinitonya. Manake nilikua sikai kwa raha mle ndani.

Kuna siku nilimnywesha sana pale Q-bar akasema ukweli kuwa hana time na mzungu sijui nini mimi kama kidume nikajiongeza humtaki mzungu na anakulipia rent Qmmmk. [emoji28]
 
Kuna dem nilimwoteaga samaki samaki katika kuchats sana tukaanza kudate sasa nilikuja data aliposema anakaaa double tree apartments.

Ofcoz nilikua naenda kwake namgonga ila nilikua na maswali sana dem anapata wopi kodi?? Anafanya kazi kampuni ya kawaida sana na mshahara wa kawaida sana.

Kumbe alikua na danga la kizungu ndo linampa maisha yule dada mlinzi ndo alinitonya. Manake nilikua sikai kwa raha mle ndani.

Kuna siku nilimnywesha sana pale Q-bar akasema ukweli kuwa hana time na mzungu sijui nini mimi kama kidume nikajiongeza humtaki mzungu na anakulipia rent Qmmmk. [emoji28]
Hhaha..mkuu..hii weekend lazima ningoe mzungu..haiwezekan nikae huku halaf nile ngoz nyeus. Haiwezekan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom