Tutahesabu wachezaji wa NBC premier league watakaoitwa timu za taifa Play off 3rd round WC Qatar 2022

Tutahesabu wachezaji wa NBC premier league watakaoitwa timu za taifa Play off 3rd round WC Qatar 2022

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Umefika wakati wa kuhesabu nani ana wachezaji wengi mataifa mbalimbali
Haya hatua ya pili Caf Word cup qualifiier imepita
draw ya kupanga yale mataifa 10 bora itafanyika December 18 2021
mechi zitaanza march 2022
Kutoka ligi yaNBC
watawakilishwa na
1. Diarra (Hata kama anakaa sub lakini si kaitwa!) YANGA SC
2. Djuma Shabani (Hata kama hapangwi lakini si kaitwa!!) YANGA SC

Pia wakati wakali hao 10 wanapigania nafasi ya kwenda wc arabuni kutakuwa na mechi za kirafiki za kalenda ya fifa ambapo NBC itawakilishwa na

WACHEZAJI WA SIMBA KARIBU WOOOTE

povu ruksa
 
Umefika wakati wa kuhesabu nani ana wachezaji wengi mataifa mbali mbali
Haya hatua ya pili Caf Word cup qualifiier imepita
draw ya kupanga yale mataifa 10 bora itafanyika December 18 2021
mechi zitaanza march 2022
Kutoka ligi yaNBC
watawakilishwa na
1. Diarra (Hata kama anakaa sub lakini si kaitwa!) YANGA SC
2. Djuma Shabani (Hata kama hapangwi lakini si kaitwa!!) YANGA SC

Pia wakati wakali hao 10 wanapigania nafasi ya kwenda wc arabuni kutakuwa na mechi za kirafiki za kalenda ya fifa ambapo NBC itawakilishwa na
WACHEZAJI WA SIMBA KARIBU WOOOTE
povu ruksa
Yacooba alikuwa anaitwa na alikuwa anacheza,ika sasa kaumia
 
Umefika wakati wa kuhesabu nani ana wachezaji wengi mataifa mbalimbali
Haya hatua ya pili Caf Word cup qualifiier imepita
draw ya kupanga yale mataifa 10 bora itafanyika December 18 2021
mechi zitaanza march 2022
Kutoka ligi yaNBC
watawakilishwa na
1. Diarra (Hata kama anakaa sub lakini si kaitwa!) YANGA SC
2. Djuma Shabani (Hata kama hapangwi lakini si kaitwa!!) YANGA SC

Pia wakati wakali hao 10 wanapigania nafasi ya kwenda wc arabuni kutakuwa na mechi za kirafiki za kalenda ya fifa ambapo NBC itawakilishwa na

WACHEZAJI WA SIMBA KARIBU WOOOTE

povu ruksa
Mimi nadhani tuhesabu wachezaji wanaocheza ligi ya vilabu vya Afrika, yaani CAF Champions League na CAF Confederation Cup
Povu ruksa
 
Mimi nadhani tuhesabu wachezaji wanaocheza ligi ya vilabu vya Afrika, yaani CAF Champions League na CAF Confederation Cup
Povu ruksa
uko wapi wewe CAF Champions League makirikiri washafanya yao
 
Ukimaliza kusitaja tutajie na klabu sasa zinazoshiriki michuano ya afrika.
 
Umefika wakati wa kuhesabu nani ana wachezaji wengi mataifa mbalimbali
Haya hatua ya pili Caf Word cup qualifiier imepita
draw ya kupanga yale mataifa 10 bora itafanyika December 18 2021
mechi zitaanza march 2022
Kutoka ligi yaNBC
watawakilishwa na
1. Diarra (Hata kama anakaa sub lakini si kaitwa!) YANGA SC
2. Djuma Shabani (Hata kama hapangwi lakini si kaitwa!!) YANGA SC

Pia wakati wakali hao 10 wanapigania nafasi ya kwenda wc arabuni kutakuwa na mechi za kirafiki za kalenda ya fifa ambapo NBC itawakilishwa na

WACHEZAJI WA SIMBA KARIBU WOOOTE

povu ruksa
C[emoji57][emoji1732]
 
Umefika wakati wa kuhesabu nani ana wachezaji wengi mataifa mbalimbali
Haya hatua ya pili Caf Word cup qualifiier imepita
draw ya kupanga yale mataifa 10 bora itafanyika December 18 2021
mechi zitaanza march 2022
Kutoka ligi yaNBC
watawakilishwa na
1. Diarra (Hata kama anakaa sub lakini si kaitwa!) YANGA SC
2. Djuma Shabani (Hata kama hapangwi lakini si kaitwa!!) YANGA SC

Pia wakati wakali hao 10 wanapigania nafasi ya kwenda wc arabuni kutakuwa na mechi za kirafiki za kalenda ya fifa ambapo NBC itawakilishwa na

WACHEZAJI WA SIMBA KARIBU WOOOTE

povu ruksa
Wakienda Qattar Wananchi wanavuna mpunga mzuri tu.
 
Back
Top Bottom