Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Aucho, Yao, Mayele hawakupewa muda bwana. kama unajua unajua tu😂Mpeni muda
Kuna yule Pape Ndaw wa Simba alitolewa uwanjani kwa kuvaa hirizi.Kuna yule Molinga wa Yanga dah
Halafu kuna wale ndugu wakina sernnkumah kama sijakosea ni saimon na ndugu yakeKuna yule Pape Ndaw wa Simba alitolewa uwanjani kwa kuvaa hirizi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Bado una msimamo huo huo juu ya Skudu? Kumbuka tu huyu ndiye alikuwa kwenye first eleven ya Gamond ila baada ya kuumia ndio katoka mchezoni kwa kutokuwa timamu na namba yake ikaja mkuta fundi Pacome anakiwasha. Kadri siku na jinsi atakavyopewa muda wa kucheza atarejea kwenye ubora wake aliouonesha tangu mechi dhidi ya Kaizer chief.Huyu skudu hata Mimi nahisi tumepigwa au kwakuwa hajacheza mechi nyingi...?
Anakuaje garasa km hajacheza.Onana, na yule mwingine aliyetoka ASEC MIMOSAS, ambaye hajacheza hata mechi ya kirafiki.
Mzee yule.Skudu hajacheza mechi nyingi. Uthubutu wake wa kuforce kuingia kwenye box ni muhimu sana kwenye kusukuma mashambulizi na kumlazimisha mpinzani kufanya makosa.