Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Mbunge wangu venant protas anapambana ktk Jimbo letu la igalula amechangia michango mingi sana iliyoleta tija Kwa wanaigalula,likini nampongeza mbunge wa momba home girl wetu amepambana xn kuchangia momba IPO salama sana.
 
Mbunge wa Jimbo la mpanda mkoa katavi anaitwa Sebastian kapufi ni mzingo mkubwa Sana Kwa wananchi ,
Tangu aingie Bungeni hajawahi hata kuomba maiki
 
Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mh,Jeremiah Mrimi Amsabhi,ni mojawapo ya wabunge wakimya na wastaarabu kwa Serikali Bungeni

1 - Mh Jemiah Mrimi Amsabhi.
2- ......
Nilitaka kumuongelea yani huyu jamaa sijui anaona aibu kuongea ili hali watu wa serengeti wanashida mf watu wengi wamekuwa wakipotelea hifadhini kwa kuuwawa na askar pori
 
😄
 
Mpaka waambiwe? Majimboni kwao pamoja na mambo kadha wa kadha hawaoni shida, maitaji na mapungufu katika huduma mfano za afya, elimu, miundombinu nk?
 
Kuna Mbunge wa Tabaora vijijini anaishi Sinza.Aisee anaharibu vijana hapa mjini.Anawachukua anakupa milion5 umfukue mtaro then ukimaliza anatoa bastola na yeye anakufukua.Wasanii na Wacheza mpira ndo wahanga.Mfano Kuna mchezaji mmoja wa Yanga kinara huyo nishamuona kabisa na watu hawamdhanii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…