Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

uko wapi boss mbona hzo course ndo znaongoza kwenye ajira

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Zama hizi nani akuajiri na hizo kozi?

Kwa mfano, hiyo degree ya procurement hakunaga muajiri bonafsi atakuchukua, subiri serikalini au taasisi za umma, nako ni kwa uchache mnoo tena kimchongo mnoo, na saturation point ilishafikiiwa na vyuo vinazidi kumwaga mamia ya wahitimu mtaani.

Business administration ndio haiwekani tena kuajirika.

Entrepreneurship nani akuajiri?
 
Zama hizi nani akuajiri na hizo kozi?
Kwa mfano, hiyo degree ya procurement hakunaga muajiri bonafsi atakuchukua, subiri serikalini au taasisi za umma, nako ni kwa uchache mnoo tena kimchongo mnoo, na saturation point ilishafikiiwa na vyuo vinazidi kumwaga mamia ya wahitimu mtaani.

Business administration ndio haiwekani tena kuajirika.
Entrepreneurship nani akuajiri?
unadhani kwann hawaajiri kwa sasa?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Bachelor of Science in Mathematics

Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.

Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Acha bwana kuna dogo langu la kike limeng'ang'ania hiyo kozi yupo UDOM
 
Bachelor of Science in Mathematics

Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.

Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Dah aisee pole Bora ungepga ata bachelor ya statistics sema unaweza namba sana piga MASTERS YA STATITICS AU ENGINEERING
 
Acha bwana kuna dogo langu la kike limeng'ang'ania hiyo kozi yupo UDOM
Nakushauri umshauri, ahame hiyo kozi. Japo saizi nasikia wana electives za ualimu ili wafae kuajiriwa kama walimu. Hiyo kozi ni majanga.

Ama kama nyumbani sio haba, na kichwani zinachaji haswa, akamalize na GPA kali halafu aunge master's.

Mkanye asidanganyike na stori za Dr. Sunzu. Huyu tuliwahi bishana juu ya tija ya hiyo kozi kwenye kipindi chake nikiwa mwaka wa tatu. Ni mtu smart ila kama H.O.D anashindwa kukudisappoint kwa kusema ukweli.

Akitaka ushauri wa kweli amtafute mtu anaitwa Dr. Mwaihuti, Stephen Mwaihuti.
 
Computer science and cyber security. Hizi utaishia kuwa fundi sim na mseti madishi ya azam
Fursa zipo ila changamoto kubwa ni wanaoandaliwa hawapati elimu wezeshi ya kuwafanya watatue matatizo mbalimbali kupitia maarifa waliyopata, na hii inasababishwa na miundombinu duni ya kufundishia pia wafundishaji nao walipita njia hizo hizo wanazowapitisha wanafunzi wao hivyo hamna jipya litakalobadili.
 
Ila naona kwa ulimwengu wa sasa unaweza kutusua maana simu kibao kitaa utapiga kazi
Unapozungumzia simu ni ngazi ya certificate wanazotoa vyuo vya ufundi, sioni ulazima wa mtu kutumia gharama kubwa na muda mwingi kusoma cs kisha uje kwenye ufundi wakati ungeweza kwenda veta kusomea programme hizo hizo kwa muda mfupi na gharama nafuu.
 
Watanzania wenzangu, Wakati umefika sasa wa kuachana na fikra mgando za kufikiria kuajiriwa tu. Tupanue akili zetu na kuwekeza nguvu nyingi kwenye kujiajiri....... ili tupunguze mateso ya kutembea ofisi/kampuni/shirika moja hadi nyingine kuomba ajira.
 
Back
Top Bottom