Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Dah, mkuu, kama vile umekuwa ulimi wangu vile. Pitia kreti la bia pale See breeze ntakuja kulipia
 
Nyie sio ndio mnabaki chuo nakuanza kuja na matheory mzee. Watu wa mathematics aio wakuka kitaa bwana nyie ni watu very important ni kubukua tuu hapo chuo
 
Taft shule ufundishe ama fungua centre yko ufundishe... hesabu ni ugonjwa wa taifa utapga pesa mingi
 
Sawa hyo ukiwa fully kweny Cyber unaweza kucrack simu haswa kubypass simu za wizi ila ni ishu hatari sana.
 
Mbona kama huu ni mwandiko wa mama kabisa. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒIla ahsante sana kwa ushauri mimi nimekuelewa tujiajiri ili tutengeneze ajira kwa wengine.
 
Bro hio sentensi ya mwisho ni noma sana...Mungu aendelee kutufanyia wepesi
 
Pole jaribu kusoma data analysis na short courses zingine halafu deal na private organisations tu

Hasa contract works

Utanishukuru baadae nmekuonea huruma Pole Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…