Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani na wewe ni msejaAah valentine's day nyingine inapita hivi hivi[emoji19]
Hakuna eneo rahisi kuwa single ukiwa huna hela kama Daslam hapa😅!!! Amini kwamba mkuu...Uombe hela ziwepo tu upweke utausikia redioni ila ukifua tu hata nzi humuoni!Hiv unakuaje single na wanawake wote hawa
Tutaishi nao tuValentine bila Yutong nitatoboa kweli? We will see [emoji848][emoji848][emoji848]
View attachment 2104394
Tumepokea pole kwa mikono miwili..Kwa heshima na Tahadhima,
Natanguliza salamu zangu za kwa pole sana KWENU wote wenye kadhia Hii[emoji4]
Mungu awavushe salama katika kipindi hiki kigumu mnachopitia, ukizingatia na mvua siku iyo Lazima inyeshe[emoji4][emoji120]
Natafuta sex partner unaonaje tukawa pamoja hata mie mpweke Kama wwMambo zenu wakuu?
Tutakaoibuka valentine single and we never regret it.Big up to us.Japo kiugumuugumu kwangu aisee,..maana upweke nao nongwa lakin unakuwa umekwepa vingi viumizavyo.Yes am single mom again. (Kiukweli kinachoniponza ni hasira nikigundua kitu bas nareact and no retreat no surrender.)pole mimi.
Kwamba yule aliyetaka kujiua kwasababu yako MSHAACHANA?Mambo zenu wakuu?
Tutakaoibuka valentine single and we never regret it.Big up to us.Japo kiugumuugumu kwangu aisee,..maana upweke nao nongwa lakin unakuwa umekwepa vingi viumizavyo.Yes am single mom again. (Kiukweli kinachoniponza ni hasira nikigundua kitu bas nareact and no retreat no surrender.)pole mimi.
Labda yupo singo bati meridi!!!Mwezi wa kumi na mbili ulikuwa ndoani leo upo singo... hongera
Huyu mnaweza dumu nae ana sura ya upole sanaTutaishi nao tu
View attachment 2104498
Asante mkuuKwa heshima na Tahadhima,
Natanguliza salamu zangu za kwa pole sana KWENU wote wenye kadhia Hii[emoji4]
Mungu awavushe salama katika kipindi hiki kigumu mnachopitia, ukizingatia na mvua siku iyo Lazima inyeshe[emoji4][emoji120]
Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatoshaMkuu,
Kama umegundua tatizo kwa nini hurekebishi?!!!