akhaNyie ndio msikute mkaliwa kimasikhara hiyo siku🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akhaNyie ndio msikute mkaliwa kimasikhara hiyo siku🤣🤣🤣🤣
Acheni uchoyo nyie na mbususu hizo vidume wapo wakuwapeni raha hiyo tarehe 14akha
Kama kawaAlooh kumbe single tupo wengi hiyo tarehe 14 nikujitoa out na kujinunulia zawad mwenyewe tuu hakuna namna
Naimani huu uzi utajaza shuhuda kibao za wake za watu wakijinasibu kua wao ni single.Alooh kumbe single tupo wengi hiyo tarehe 14 nikujitoa out na kujinunulia zawad mwenyewe tuu hakuna namna
Hahaaaaaa, mseja = singleMseja inamaanisha nini kwani? Kabla sijajibu yes or no[emoji12]
Alisema alienda kutafuta maisha hata ivo 11 alinichukua ndo aliyenisomesha pia.She is my everythingDuh maza kwahio alikuzaa kimchongo tu kisha akakuacha home kwa bibi? Sema nawaona wapuuzi tu sababu wewe hukuomba uzaliwe it happened. Wamekuharibu kichwa kwa ujinga wao pia.
Ni kweli mkuuMimi sio nabii ila wewe nina uhakika utakuwa very defensive kwenye mahusiano...Hii inatokana na ile hali ya kuonewa mda mrefu na denial ya kutotaka kurudi kwenye uonevu so hata mambo madogo ya kuchukulia easy lazma utakuwa unabwatuka na pia unakuwa mtu usiyetaka kushindwa yani kila argument lazima izae ligi.
Ni ngumu ku survive bila kufanyiwa counselling. Watu wana give up mapema sababu hio. Wewe ni ngumu kuwa submissive ila sio kosa ni psychological errors tu. Lazma ifikie mahala ukubali kubadilika.
Ila pia kuna ile roho ya kukataliwa inakuandama toka mdogo lazma upambane na hilo spiritually.
I'la Pamoja na yote mateso, Kuna upande wa pili wa maisha.Alisema alienda kutafuta maisha hata ivo 11 alinichukua ndo aliyenisomesha pia.She is my everything
Na wewe uko single[emoji848]Aah valentine's day nyingine inapita hivi hivi[emoji19]
@Unforgettable Aliyesababisha ukapata toto zuri hawezi kuwa valentine wako?wengine valentine wetu ndohawa tusharidhikaView attachment 2105068
Kusherekea valentine day inaonesha jinsi gani penzi lenu lilivokua halija mature yaani bichi kabisaaMambo zenu wakuu?
Tutakaoibuka valentine single and we never regret it. Big up to us. Japo kiugumuugumu kwangu aisee,..maana upweke nao nongwa lakin unakuwa umekwepa vingi viumizavyo. Yes am single mom again. (Kiukweli kinachoniponza ni hasira nikigundua kitu bas nareact and no retreat no surrender.)pole mimi.
Dah! Unabackground yakusikitisha Sana.Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
ndo ivo mkuuDah! Unabackground yakusikitisha Sana.
Kwaiyo Mom wako alkua single mother, afu nawe umekua tena single mother[emoji22]
Dah![emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app