Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua Makin kushare hizi info na wanao,. Inaweza waathiri kisaikolojia wakaja fata ulikopitia.Hakika,maana kuna muda i feel differ so naamua kutochangamana na watu
yuko busy na wa kwake mie huyu ananitosha@Unforgettable Aliyesababisha ukapata toto zuri hawezi kuwa valentine wako?
Mama ako nae alikosea Sana kukwambia hizo habar,Alikuwa bibi yangu mzaa mama but shida ni kwamba naambiwa na mama sikupendwa tangu ningali tumbon coz hawakutarajia mama kuzalia home so alipigwa mara kwa mara na wazaz pamoja uncles .Alibeba mimba akiwa na 16
Binafs namm Namuona hivyo.Mimi sio nabii ila wewe nina uhakika utakuwa very defensive kwenye mahusiano...Hii inatokana na ile hali ya kuonewa mda mrefu na denial ya kutotaka kurudi kwenye uonevu so hata mambo madogo ya kuchukulia easy lazma utakuwa unabwatuka na pia unakuwa mtu usiyetaka kushindwa yani kila argument lazima izae ligi.
Ni ngumu ku survive bila kufanyiwa counselling. Watu wana give up mapema sababu hio. Wewe ni ngumu kuwa submissive ila sio kosa ni psychological errors tu. Lazma ifikie mahala ukubali kubadilika.
Ila pia kuna ile roho ya kukataliwa inakuandama toka mdogo lazma upambane na hilo spiritually.
Nmeanza kuhs hivo na mm,Naimani huu uzi utajaza shuhuda kibao za wake za watu wakijinasibu kua wao ni single.
Just mpende kwa nafsi yako naye atakupenda.yuko busy na wa kwake mie huyu ananitosha
Mungu akutie sana Nguvu, ila fuata Sana USHAUR wa wadau.ndo ivo mkuu
Poa haina shida kama vipi nipatie namba yako DM tuanze wasiliana kawaidaMi huwa natafuta muda ukifika nitakutafuta mkuu
Bas wenda hio pia ikawa inachangia mahusiano yako kutokudumu kutokana na life yako ya nyuma uliyopitiaNdo ivo mkuu
Kwan ujui kuwa wale wanaojiita MBV (Married But Available)Naimani huu uzi utajaza shuhuda kibao za wake za watu wakijinasibu kua wao ni single.
Asante sanaMama ako nae alikosea Sana kukwambia hizo habar,
Uskute hata kashkash na wanaume zake alkua anakusimulia.
Huenda
Imekuathiri kisaikolojia hata kuishi na wanaume unaona tabu.
Hebu jaribu kuitafakar Hii kitu dada angu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
AminaKua Makin kushare hizi info na wanao,. Inaweza waathiri kisaikolojia wakaja fata ulikopitia.
Jitahidi wajenge wawe na positive attitude na mahusiano na ndoa.
Hii kitu usipokaa vizu huwa inatembea kizazi mpk kizazi[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unanishangaa mkuu Deep😒
Hii Habar imeniogopesha Sana[emoji44]Mbona unanishangaa mkuu Deep[emoji19]