KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Aiseeee[emoji849][emoji849][emoji849]Valentine bila Yutong nitatoboa kweli? We will see [emoji848][emoji848][emoji848]
View attachment 2104394
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee[emoji849][emoji849][emoji849]Valentine bila Yutong nitatoboa kweli? We will see [emoji848][emoji848][emoji848]
View attachment 2104394
Will you be my valentine?Alooh kumbe single tupo wengi hiyo tarehe 14 nikujitoa out na kujinunulia zawad mwenyewe tuu hakuna namna
Katoto kana afya njema hadi raha, hongera umekuza dear, but where is the king ? why uwe na valentine's mmoja tu😝wengine valentine wetu ndohawa tusharidhikaView attachment 2105068
Usishangae mkuu, mbona kawaida tu
Kweli kabisa twendeni somewhere special basii 🤔Alooh kumbe single tupo wengi hiyo tarehe 14 nikujitoa out na kujinunulia zawad mwenyewe tuu hakuna namna
Kuna kitu hakiko sawa,Usishangae mkuu, mbona kawaida tu
Basi Mganga wako mkali Sana,Kila sehemu valentine valentine,hadi nachanganyikiwa[emoji30][emoji30][emoji23]
No kila kitu kipo sawa tu mkuuKuna kitu hakiko sawa,
Inawezekanaje kwa mfano[emoji848]
Yaani Sitaki hata ku-imagine[emoji18]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijui huwa wanaishije kwakweli,Kuwa single nako ahhh Ni kazi ngumu
Au na wee ushaanza kuhudhuria Yale makanisa yetu ya kina pilpili[emoji848]No kila kitu kipo sawa tu mkuu
😃😃 Mbona hamna option ya No hapo huu ni ubatiliWill you be my valentine?View attachment 2105497
Hahaa Mimi nasali Kkkt na si vinginevyo, but wanaosali huko ndiyo wako single?Au na wee ushaanza kuhudhuria Yale makanisa yetu ya kina pilpili[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya hivyo bas Sis maana kwanza itakuwa Birthay yangu hivyo tuta jizawadia zawadi za kutosha na party juu 😃😃Kweli kabisa twendeni somewhere special basii 🤔
Wow umezaliwa siku nzurii ya dunia kuoneshana mahaba, itabidi tujumuike kukupongeza siku hiyo😍Fanya hivyo bas Sis maana kwanza itakuwa Birthay yangu hivyo tuta jizawadia zawadi za kutosha na party juu 😃😃
😂😂😂Basi Mganga wako mkali Sana,
Wagawie mmoja basi na wenzio wafaidi mema ya dunia[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
thanksHappy to know you boss,u ar welcm