Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Nipange maana hata mm nipo usingoni kama ww...nipe lokesheni ili tuje tufanye kikao chetu cha pamoja ambacho kitaonesha dira ya kuendeleza usingo kwa mwaka 2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu..Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Hawezi we fungua DM tuu unipe locationAsije akatuaibisha yeye sasa[emoji23]
Can i help you,,kama utatakaMama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Mseja inamaanisha nini kwani? Kabla sijajibu yes or no😜Kwani na wewe ni mseja
Una hakika huyo alikua bibi yako kweli?Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Ha ha kwan sura ya upole ndio ina maanisha kudumu! Anaeza kuzingua vile vile na tako lipo wee😅😅😅Huyu mnaweza dumu nae ana sura ya upole sana
Hakika,maana kuna muda i feel differ so naamua kutochangamana na watuPole sana mkuu..
Usikate tamaa.
Nadhani unahitaji serious counseling toka kwa mwanasaikolojia makini, ili ubadili mtazamo na tabia na uanze upya.
Hakuna lisilowezekana.
Mmmh aisee pole sana. Had nimetaman nikuone unisimlie vizurMama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
With this problem of resentmentHakika,maana kuna muda i feel differ so naamua kutochangamana na watu
We talk it outHow my man
Alikuwa bibi yangu mzaa mama but shida ni kwamba naambiwa na mama sikupendwa tangu ningali tumbon coz hawakutarajia mama kuzalia home so alipigwa mara kwa mara na wazaz pamoja uncles .Alibeba mimba akiwa na 16Una hakika huyo alikua bibi yako kweli?
Mimi sio nabii ila wewe nina uhakika utakuwa very defensive kwenye mahusiano...Hii inatokana na ile hali ya kuonewa mda mrefu na denial ya kutotaka kurudi kwenye uonevu so hata mambo madogo ya kuchukulia easy lazma utakuwa unabwatuka na pia unakuwa mtu usiyetaka kushindwa yani kila argument lazima izae ligi.Hakika,maana kuna muda i feel differ so naamua kutochangamana na watu
Duh maza kwahio alikuzaa kimchongo tu kisha akakuacha home kwa bibi? Sema nawaona wapuuzi tu sababu wewe hukuomba uzaliwe it happened. Wamekuharibu kichwa kwa ujinga wao pia.Alikuwa bibi yangu mzaa mama but shida ni kwamba naambiwa na mama sikupendwa tangu ningali tumbon coz hawakutarajia mama kuzalia home so alipigwa mara kwa mara na wazaz pamoja uncles .Alibeba mimba akiwa na 16
They call it counselingHow my man
Mgegedo muhimu weye acha kudharau umuhimu wakeIla siyo lazima pesa huzika kila kitu
Tena nanunua kashampeni kangu nakanywa taratibuuuMambo zenu wakuu?
Tutakaoibuka valentine single and we never regret it.Big up to us.Japo kiugumuugumu kwangu aisee,..maana upweke nao nongwa lakin unakuwa umekwepa vingi viumizavyo.Yes am single mom again. (Kiukweli kinachoniponza ni hasira nikigundua kitu bas nareact and no retreat no surrender.)pole mimi.
Wengine hatuoendi kunatana....sie ni kusasambua mbususu tuu na kusepaHiv unakuaje single na wanawake wote hawa
Nyie ndio msikute mkaliwa kimasikhara hiyo siku🤣🤣🤣🤣Tena nanunua kashampeni kangu nakanywa taratibuuu