Tutakaoibuka valentine single tujuane hapa

Tutakaoibuka valentine single tujuane hapa

Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Pole sana mkuu..
Usikate tamaa.
Nadhani unahitaji serious counseling toka kwa mwanasaikolojia makini, ili ubadili mtazamo na tabia na uanze upya.
Hakuna lisilowezekana.
 
Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Can i help you,,kama utataka
 
Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Una hakika huyo alikua bibi yako kweli?
 
Mama aliniacha kwa bibi nikiwa na miaka 3 akaja nichukua nina 11....nimeishi kwa mateso sana pale home hasa kipigo.Nimekuwa nikapata kaz kupata bwana kanipa mimba kagoma kunioa kasema kaniachia ujumbe TOA MIMBA.Nimepata mume unaletewa zigizag....moyo wenyewe huu uliojaa hasira na visasi.Hapana nisijepata kesi bure.Ngoja niishi na wanangu inatosha
Mmmh aisee pole sana. Had nimetaman nikuone unisimlie vizur
 
Hakika,maana kuna muda i feel differ so naamua kutochangamana na watu
Mimi sio nabii ila wewe nina uhakika utakuwa very defensive kwenye mahusiano...Hii inatokana na ile hali ya kuonewa mda mrefu na denial ya kutotaka kurudi kwenye uonevu so hata mambo madogo ya kuchukulia easy lazma utakuwa unabwatuka na pia unakuwa mtu usiyetaka kushindwa yani kila argument lazima izae ligi.

Ni ngumu ku survive bila kufanyiwa counselling. Watu wana give up mapema sababu hio. Wewe ni ngumu kuwa submissive ila sio kosa ni psychological errors tu. Lazma ifikie mahala ukubali kubadilika.

Ila pia kuna ile roho ya kukataliwa inakuandama toka mdogo lazma upambane na hilo spiritually.
 
Alikuwa bibi yangu mzaa mama but shida ni kwamba naambiwa na mama sikupendwa tangu ningali tumbon coz hawakutarajia mama kuzalia home so alipigwa mara kwa mara na wazaz pamoja uncles .Alibeba mimba akiwa na 16
Duh maza kwahio alikuzaa kimchongo tu kisha akakuacha home kwa bibi? Sema nawaona wapuuzi tu sababu wewe hukuomba uzaliwe it happened. Wamekuharibu kichwa kwa ujinga wao pia.
 
Mambo zenu wakuu?
Tutakaoibuka valentine single and we never regret it.Big up to us.Japo kiugumuugumu kwangu aisee,..maana upweke nao nongwa lakin unakuwa umekwepa vingi viumizavyo.Yes am single mom again. (Kiukweli kinachoniponza ni hasira nikigundua kitu bas nareact and no retreat no surrender.)pole mimi.
Tena nanunua kashampeni kangu nakanywa taratibuuu
 
Back
Top Bottom